Wanaume wanapenda ngono kuliko wanavyopenda wake zao

kudadeki. kwani nini tofauti ya hayo mashimo? au ukienda nje ndio unaingiza shavuni?
Ukiwa mme wa mtu; Kutembea na mahausi geli, machangudoa, mabaa medi, wanafunzi au mwanamke yoyote nje ya ndoa haimaanishi kuwa humpendi mkeo. Ni kujaribu kutafuta kile ambacho mkeo hana. Mapungufu ni kawaida kwa maisha ya kawaida!
 
hawana maana kabisa ni viumbe hatari sana wanachezea mioyo ya watu tu na kisha kujiona wajanja.....na wasivyojua kuwa wanawake ni wajanja na wasiri kupindukia kwa ndani tunawapa vya kunyonga na nje tunatoa vya kuchinja.....endelee tu ila hamna ujanja wowote ktk hayo mataptap yenu................ukweli ndo huo pinga pangua


Mbona unajisema.........asa unayempa huko nje ..........NAYE PIA NI MWANAUME!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ukiwa mme wa mtu; Kutembea na mahausi geli, machangudoa, mabaa medi, wanafunzi au mwanamke yoyote nje ya ndoa haimaanishi kuwa humpendi mkeo. Ni kujaribu kutafuta kile ambacho mkeo hana. Mapungufu ni kawaida kwa maisha ya kawaida!

Wewe umekamilika sana?are you an angel my dia?and dat means unasema its ok 4 ur wife to cheat ukipungukiwa na kitu?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom