Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,817
- Thread starter
- #41
kudadeki. kwani nini tofauti ya hayo mashimo? au ukienda nje ndio unaingiza shavuni?
Ukiwa mme wa mtu; Kutembea na mahausi geli, machangudoa, mabaa medi, wanafunzi au mwanamke yoyote nje ya ndoa haimaanishi kuwa humpendi mkeo. Ni kujaribu kutafuta kile ambacho mkeo hana. Mapungufu ni kawaida kwa maisha ya kawaida!