bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Bacha wewe umevaa pete ya ndoa?? Kama hujavaa ulipokea ya nini pale kanisani/Kwa RC.
Si ungeiacha hapo kwa padri/mchungaji
kumbuka DA, PETE NI ISHARA TU!,
sio kwamba ukiivua basi na ndoa imekufa mama!!!!