Basi 95% ya wanaume wa JF hatutakuwa nao baada ya muda mfupi!...huh!
IN CASE, then RIP my 95% friends!
kwanini ni noma?
Kwa weupe nakubali ila kwa wabongo nooo. Sisi twafa sana na maleria, ajali za boda boda plus kale kaugonjwa ka chumvini.
Basi 95% ya wanaume wa JF hatutakuwa nao baada ya muda mfupi!...huh!
IN CASE, then RIP my 95% friends!