wanaume wanahusika zaid kujibu hili swali

Eversmilin Gal

JF-Expert Member
Feb 5, 2012
778
269
utajisikiaje ukigundua mke wako hakuamini tena na kama ndo hivyo upendo umeshuka kwa sababu labda umefanya mambo fulan baadhi ya hayo Ni:unarudi late saa 8 saa 9 au pengine asubuh
Kwenye walet yako umeweka picha ya mwanamke mwingine
Hutoki naye
unaonekana sio mwami
 
utajisikiaje ukigundua mke wako hakuamini tena na kama ndo hivyo upendo umeshuka kwa sababu labda umefanya mambo fulan baadhi ya hayo Ni:unarudi late saa 8 saa 9 au pengine asubuh
Kwenye walet yako umeweka picha ya mwanamke mwingine
Hutoki naye
unaonekana sio mwami

Ukianza kufanya hivyo huyo mwanamke atakuwa amekukifu/kinai huyo wa nje ndo analipa
 
kwa maana hiyo itabidi umpe mkeo talaka ili huyo wa nje anayelipa uhalalishe au?

Wa nje ni kama spare tyre itafika kipindi unahitaji kuacha kutumia spare tyre unarudi kutumia la kawaida ndo wa home huyo sasa spare tyre unaiacha inatumika inapo bidi tu
 
yaani urudi saa tisa usiku kufanya nini?
Bora kwenda kazini moja kwa moja.

Na sifanyi chochote kwa mke wangu sababu nitakuwa nimemchoka sana.
 
utajisikiaje ukigundua mke wako hakuamini tena na kama ndo hivyo upendo umeshuka kwa sababu labda umefanya mambo fulan baadhi ya hayo Ni:unarudi late saa 8 saa 9 au pengine asubuh
Kwenye walet yako umeweka picha ya mwanamke mwingine
Hutoki naye
unaonekana sio mwami

Ni jambo baya mume kutokuwa unaaminika nyumbani na ni jambo baya zaidi kufikia hatua ya kubeba picha za wanawake wengine kwenye wallet. Binafsi yangu sitamani kumfanyia hivi mke wangu hivi na ni vyema kila mume kustruggle kuondoka na hii hali.
 
yaani urudi saa tisa usiku kufanya nini?
Bora kwenda kazini moja kwa moja.

Na sifanyi chochote kwa mke wangu sababu nitakuwa nimemchoka sana.

Hapa ndipo unapojichanganya wewe mtu, hueleweki jinsia yako kabisaaa
Itakuwa unajisahau tu kwa bahati mbaya we ni dume la mbegu
 
Ni jambo baya mume kutokuwa unaaminika nyumbani na ni jambo baya zaidi kufikia hatua ya kubeba picha za wanawake wengine kwenye wallet. Binafsi yangu sitamani kumfanyia hivi mke wangu hivi na ni vyema kila mume kustruggle kuondoka na hii hali.
Mungu akubarik kwa maneno yako yenye hekima
 
utajisikiaje ukigundua mke wako hakuamini tena na kama ndo hivyo upendo umeshuka kwa sababu labda umefanya mambo fulan baadhi ya hayo Ni:unarudi late saa 8 saa 9 au pengine asubuh
Kwenye walet yako umeweka picha ya mwanamke mwingine
Hutoki naye
unaonekana sio mwami

Hatua stahili itategemea na chanzo cha kutoaminiwa.
 
utajisikiaje ukigundua mke wako hakuamini tena na kama ndo hivyo upendo umeshuka kwa sababu labda umefanya mambo fulan baadhi ya hayo Ni:unarudi late saa 8 saa 9 au pengine asubuh
Kwenye walet yako umeweka picha ya mwanamke mwingine
Hutoki naye
unaonekana sio mwami
utakuwa umevuna ulichopanda, we vituko vyote hivyo unategemea aendelee kukuamini!!, hapo amua moja, kujirekebisha au kuvunja ndoa uendelee na huyo wa nje..., (bt the second option sounds crazy to me)
 
utajisikiaje ukigundua mke wako hakuamini tena na kama ndo hivyo upendo umeshuka kwa sababu labda umefanya mambo fulan baadhi ya hayo Ni:unarudi late saa 8 saa 9 au pengine asubuh
Kwenye walet yako umeweka picha ya mwanamke mwingine
Hutoki naye
unaonekana sio mwami

Too imaginary!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom