Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Hebu ngoja kwanza nikastue,manake nadhani kuna jam mahali,lol!japokua my main point ilikua mtoa mada kasema tunajichubua kwa ajili ya kuwaridhisha wanaume. Nikakataa kua ni issue ya self esteem....
Wanaume wenyewe wanabishana tu!
Kubishana ni haki yetu ya kuzaliwa, so don't worry. Tutaelewana tu baadae kwa hoja na matokeo,maana mtu ukimwambia usiache mwili kujaa fats akabisha, tumbo likindokea chini si inakula kwake?