Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Hawa viumbe ni tofauti kama mbingu na nchi...Kwa hiyo hawawezi hata siku moja kufanya vitu vinavyofanana!!
Kila group lina mambo yao yanayowasaidia kuvuta upande mwingine. Hata hivyo mateso wanayojipa wanawake ni makubwa na yanapitiliza!!
I wish wangeweza kumsikiliza King'asti!!
Kila group lina mambo yao yanayowasaidia kuvuta upande mwingine. Hata hivyo mateso wanayojipa wanawake ni makubwa na yanapitiliza!!
I wish wangeweza kumsikiliza King'asti!!