Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
eti wanakojoa kitandani sana, kila siku kuanika godoro na wake zao wanawavumilia na kuwapenda. enyi mlioolewa na walevi mnasemaje????????? kuna ukweli hapo. du kazi ipo. Hii ameniambia mtu wa karibu mwanamke ambaye nimesoma naye kwa kipindi cha miaka kama 7 hivi