Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
- Thread starter
- #61
Na bora niwe sipo, nikija kuwepo kama wewe sitazubaa, ntawacharaza wote wawili kwa mkuyati :biggrin:
mbona huelewi kiswahili, haupo popote, ungekuwepo kusingekuwa na wasagaji hapo jirani na unapoishi - hata hilo hitaji la kutumia mkuyati ni dalili na kithibitisho tosha kuwa wewe kama mwanaume haupo, 'you are absent as a man there!