Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Duh! Hapo ni kheri kwenda kumuona urologist tu.
Kwa Marekani urology ni moja ya fani za udaktari zenye ushindani wa hali ya juu kabisa. Kwa Tanzania tukiwa na hata ma urologists 50 nitashangaa sana!!!!
Kaka urologists wa Tz kazi yao ni kuzibua vibabu ambavyo vimeziba njia ya mkojo kwa sababu ya matumizi makubwa enzi za ujana wao!! Sasa unahitaji wengi wa nini? Watafanya kazi gani??
Babu DC!!!