The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,847
Kuna jambo nimekutana nalo limenishangaza mno
nimeona nililete hapa na watu wengine waeleze uzoefu wao...
kuna watu wawili tofauti nawajua.....
inasemekana hao watu ni wagumba...
licha ya kuoa mda mrefu hawakufanikiwa kupata watoto
lakini wake zao walikuja kuzaa watoto....na inaonekana ni watoto
wa nje....au watoto wenye baba wengine.....
sasa hapa ndo nikabaki na masswali kibao ya kujiuliza....
kwa nini wanaume wengi hawataki kwenda hospitali kupimwa???
kwani inasemekana asilimia 90 ya matatizo ya ugumba yana tiba
la pili ni kwa nini inavyoonekana ni kuwa wanaume wakiwa wagumba
wanawake hutafuta watoto nje....?
na kwa nini wanaume huonekana kukubali hali hiyo?????
na je nyinyi mna ozoefu gani na kesi kama hizi?
mimi nimebaki nashangaaa na haya mambo......
nimeona nililete hapa na watu wengine waeleze uzoefu wao...
kuna watu wawili tofauti nawajua.....
inasemekana hao watu ni wagumba...
licha ya kuoa mda mrefu hawakufanikiwa kupata watoto
lakini wake zao walikuja kuzaa watoto....na inaonekana ni watoto
wa nje....au watoto wenye baba wengine.....
sasa hapa ndo nikabaki na masswali kibao ya kujiuliza....
kwa nini wanaume wengi hawataki kwenda hospitali kupimwa???
kwani inasemekana asilimia 90 ya matatizo ya ugumba yana tiba
la pili ni kwa nini inavyoonekana ni kuwa wanaume wakiwa wagumba
wanawake hutafuta watoto nje....?
na kwa nini wanaume huonekana kukubali hali hiyo?????
na je nyinyi mna ozoefu gani na kesi kama hizi?
mimi nimebaki nashangaaa na haya mambo......