kuna mdada mmoja hahusiani na hizo.saloon tuliwasiliana katika kutaka kupanga pa kuonana anataka tuonane.UCHUMI QUALITY CENTRE.nikamwambia mimi nataka tuonane Tandika Kwakuwa anakaa. VETERINARY TMK akagoma anasema Tandika hakuna sehemu ya kukaa!.wakati kule anakotaka ni foleni ukiwa na.gari ni kero! yeye kapuku hata baiskeli hana anadharau.Tandika.nilitaja huko kumpima.bichwa lake.nikaona maji tu.nikampotezea.yaan ni kweli kabisa, mara mkutane mlman city, mara mkachek muvi, mara umpgie cmu ucku huku una usingz, mara ukamnunulie i phone, mara nataka sare ya kwenda kwenye kitchn party ya rafk yake,,asa tabu zote hzo za nini,,wakati mtu ukienda tu hapo salun na elfu 20 yako unapata huduma zote
ewaa..ndo maana tunaenda kwy hzo saluni..unapata vitu safi na kw bei rahisi na kwa muda unaotaka..instant at requiredkuna mdada mmoja hahusiani na hizo.saloon tuliwasiliana katika kutaka kupanga pa kuonana anataka tuonane.UCHUMI QUALITY CENTRE.nikamwambia mimi nataka tuonane Tandika Kwakuwa anakaa. VETERINARY TMK akagoma anasema Tandika hakuna sehemu ya kukaa!.wakati kule anakotaka ni foleni ukiwa na.gari ni kero! yeye kapuku hata baiskeli hana anadharau.Tandika.nilitaja huko kumpima.bichwa lake.nikaona maji tu.nikampotezea.
mkuu umenichekesha sana big upNikishaona tu baba shopu napita spidi mia
Wanune tuunawafanya wakununie na kukuona mbugila!
Kuna mambo mawili hapa,Mi naenda kwa kinyozi kunyoa tu....kuosha na takataka nyingine nafanya nyumbani tu....mambo ya kutekenyana masikio sitaki kabisa!
mshana jr bora kujikataa mapema kule ni upuuzi mtupu.Nikishaona tu baba shopu napita spidi mia
NdizoHahahahah watu mliokuja mjini juzi mna shida sana. Sasa mimi nikiwa ndezi wewe utakuwa nani?
Siendi mimi kule hata kama ikitokea nimeenda sipendi kabisa kuoshwaoshwamshana jr bora kujikataa mapema kule ni upuuzi mtupu.
Haviogopi wala havina soni hivyo vitotounaogopa kuanguka dhambini na vibinti vigoli! Mwiko kuona nyeti za wakubwa.