Wanaume waepukeni wadada wa barber shop

BOB LUSE

JF-Expert Member
Jan 25, 2014
3,558
2,854
I greet you all my elders,

Hizi sehemu ni maarufu kwa wanaume wenye vipato vya kati na matajiri huenda
kufanya scrub, kunyoa, steamer, kuweka black, mask/facial etc ili kupendeza na
kwenda na wakati,ni jambo jema.

Kule ndani kwenye hizi saloon kuna vyumba maalum vya kuosha nywele baada ya kunyoa na hizo huduma nilizozitaja hapo awali.zote zinatolewa na hawa wadada ambao nawapongeza kwa kazi yao nzuri iliyotukuka.

Kuna baadhi ya wadada katika kutoa huduma hizi wanatumia madhaifu ya wanaume kutomasa wanaume maeneo wanayoyajua kuwa yanaweza kusababisha mwitikio chanya wa malengo yao (invitation to treat) Upande mwingine kuna wanaume wanaingia humu kwenye vyumba hivyo na tabasamu na vicheko bashasha wakiwa na nia ovu ya kukonga
roho na vimwana wa hizo saloon, wana hakikisha wakitoka hapo anachukua namba ya mdada na kupanga kuvunja amri ya sita.

Wakaka wa saloon wanajua hilo na wanawatumia hao wadada kama chambo ya kuwakamata na kulinda wateja.Wanawaambia wanaume chagua unayetaka akuhudumie! lakini tatizo lililopo wanaume hawajui kuwa kila mwanaume anayeenda pale anapewa
huduma kama yake!

Ushauri sio sheria jiheshimu na kuwa serious ukienda sehemu hizo pia wadada wa saloon, acheni tabia ya kugawa namba za simu na kuwatega wanaume heshimu kazi zenu hiyo ni ajira kama zingine, msishushe thamani ya kazi na utu wenu.

Nakaribisha wenye uzoefu na hii sector.tuwarudishe kwenye mstari baadhi ya ndugu zetu waliopinda.

Week end is over kesho ni . . kula kwa jasho.
 
Mkuu hao madada mm kwa mtizamo wangu hiyo kazi wanayoifanya sio rasmi sana,ndio maana kuna chumba maalum cha kufanyia hyo kazi,ingekuwa ni rasmi ngefanyikia pale pale Saluni uliponyolea, hakuna faragha ya mwanaume na mwanamke alafu ya kutomasana ndevu nk alafu yasitokee hayo unayosema
Pili; hyo ni extra service tuu ambayo sio lazima ufanyiwe,mm huwa naenda kunyoa then naishia hapo huko kwingine huwa siendi
Ukweli uko hvi sisi wabantu kazi km hizo znatakiwa zifanywe na mtu wako wa karibu km mkeo nk, sio hawa madada! pamoja na massage,
Na km ww ni mwanaume alafu una mke au demu wako anafanya hizo laz.....basi jua umeumia
 
Mi naenda kwa kinyozi kunyoa tu....kuosha na takataka nyingine nafanya nyumbani tu....mambo ya kutekenyana masikio sitaki kabisa!
Hata mimi mkuu! pale JR mikocheni wananijua,naamini wananiona kauzu
mnoo.mimi nanyoa sioshi wala sitoi kicheko wala tabasamu naongea na vinyozi tu.hata magic nataka mwanaume anyoe,kufutwa inaletwa.taulo hapohapo siendi chobisi.
 
Mkuu hao madada mm kwa mtizamo wangu hiyo kazi wanayoifanya sio rasmi sana,ndio maana kuna chumba maalum cha kufanyia hyo kazi,ingekuwa ni rasmi ngefanyikia pale pale Saluni uliponyolea, hakuna faragha ya mwanaume na mwanamke alafu ya kutomasana ndevu nk alafu yasitokee hayo unayosema
Pili; hyo ni extra service tuu ambayo sio lazima ufanyiwe,mm huwa naenda kunyoa then naishia hapo huko kwingine huwa siendi
Ukweli uko hvi sisi wabantu kazi km hizo znatakiwa zifanywe na mtu wako wa karibu km mkeo nk, sio hawa madada! pamoja na massage,
Na km ww ni mwanaume alafu una mke au demu wako anafanya hizo laz.....basi jua umeumia
kweli mkuu,uko sahihi!.kibaya unakuta wake/partners/girlfriend zile kazi za kule saloon wanaona uvivu kuwafanyia wenza wao! wale wadada wanachukua fursa!
 
Wanawake wa mjini wooote wanauza NYAPU ila kila mmoja anauza kwa namna yake mshahara wa saloon auzidi 150,000 wataishije mjini hapa.
mkuu huo haufiki kwenye baadhi ya saloon wanalipwa na vinyozi kwa siku kadri ya huduma atakayotoa!
 
Wanawake wa mjini wooote wanauza NYAPU ila kila mmoja anauza kwa namna yake mshahara wa saloon auzidi 150,000 wataishije mjini hapa.
daah kiukweli asilimia kubwa ni hivyo,,,kuna demu namfaham anasoma masterz na ana jamaa yake lakini haishi kupiga vibomu
 
ndiyo mkuu,siwapi nafasi ya kunishika kidevu,masikio na mgongo na shingo kusuguliwa! hatari
Mimi juzi pale mwenge baada ya kunyolewa ndevu akaja fasta, mara uncle vp scrub utafanya nikamwambia ndio, na massage nikamwambia vote ntafanya, akanambia njoo huku.

Nikaenda kule chobingo ile nafika nikamwambia naomba nikulipe kabsa, akanambia poa, nikatoa wallet nikatoa jero (500) akang'aka aaah!! uncle hii ya nini? Nikamwambia hiyo huduma mpya unayotaka kuifanya.

Akanirudishia akaondoka kimya kimya.
Ndo huwa natumia gear hiyo na saloon kibao wakiniona naenda mademu wao wanasepa kwanza!!.
 
Dawa ya moto ni moto na mtoto akililia wembe mpe akikutana na ncha ndo atajua utamu wa kiburi
 
Back
Top Bottom