Uchunguzi wa muda mrefu wa suala hili ulibaini kuwa katika klabu,
kasino na sehemu nyingi za starehe jijini Dar es Salaam,
kuna idadi kubwa ya wanaume wanaojiuza kwa mijimama ya mjini yenye MIHELA yao.
ISSUE IPO HIVI:
Uchunguzi ulibaini kuwa vijana wanaojihusisha na biashara hiyo ni wale walio
fiti kwa mazoezi ya gym au wababeba vitu vizito wanaosifika kwa kutunisha vifua a.k.a mabaunsa.
USISHANGAE KWAMBA:
Kuna madai kuwa, baadhi ya wanawake wanaowachukua vijana hao ni wake wa vigogo (wanasiasa)
na watumishi wa serikalini ambao ndoa zao hazijatulia.
Kama wadada wakijiuza wanaitwa makahaba,......wanaume wanao jiuza kwa style hii tuwaiteje?
Source plz
Mie nashindwa kukuunga mkono kusema wanapenda mteremko!
Kwa nini usichukulie hiyo ni AJIRA (sekta binafsi ?)
huoni anapokua kibaruani kulisatisfai jimama huyu mtu anatumia energy ?
hata mie najiuza ,wananiita,kidume cha mbegu,,,,,kcm,,,,,,,,a,k,a ,,,ail,maarufu kishuka,,,,weweeeee...utaipendaga,,,,karibuni,,,,:msela:
Hii kitu si kwa mabaunsa wa klub tu hata kwa WANACHUO WATEGEMEA BOOM wanapenda sana kutafuta mijimama chuoni yenye hela zao ili wawe wanawapa mpunga yaani kuwatoa,Wenyewe wanachuo wanaita KUSAFIRIA NYOTA
........................
Kama wadada wakijiuza wanaitwa makahaba,......wanaume wanao jiuza kwa style hii tuwaiteje?...............
Mwisho wa dunia unavyokaribia mbona tutayaona mengi?
Kuweni mtayajuwa wengi ya watanzania wanawekwa na wanawake, chunguza hata nyumbani kwenu utakuta mama'ko ndio aliomuweka baba'ko.
Ni utamaduni wa Kiafrika, nenda vijijini, wanawake ndio hufanya kazi zote na wanaume kazi yao kubwa ni kukaa vilabuni na kunywa pombe tu.
Hawa waitwa makababu (Maana yanaliwa tuu). Kwa sasa Tanzania wanaume wengi wanapenda mteremko! We unacheza
pool table asubuhi mpaka jioni unategemea nini? Ndo kujiuza kunaanzia hapo
Mie nashindwa kukuunga mkono kusema wanapenda mteremko!
Kwa nini usichukulie hiyo ni AJIRA (sekta binafsi ?)
huoni anapokua kibaruani kulisatisfai jimama huyu mtu anatumia energy ?