MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,852
- 6,202
Wanaume wa ukweli waletao mabadiliko na wanaojua majukumuyao ( Career)
Heshima kwenu Brothers and sisters na wadau wote wa jamiiforums
Wekend hii Jumamosi nilikuwa Napata kinywaji na classmates,workmates na washkaji wengine huku tunacheki mpira Maeneo ya Break point Makumbusho, Kama mnavyojua Bar mnakutana na watu wengi msio juana kabla, but kinywaji na story za mpira zinawaunganisha na mnakuwa kama mmekuja pamoja
Na mnajuana toka kitambo, Baada ya kupata drinks huku mpir aukielekea mwishoni jamaa yangu mmoja
Alipigiwa simu na mke wake akimuomba hela ili achangie harusi ya shost wake so alimuuliza atoe ahadi ya bei gani, so kutokana na kelele za bar nakuona hawasikilizani vizuri jamaa ilibidi aweke loud speaker ili amsikie vizurihapo ndipo karibu wote meza ile tulisikia maongezi yao, Jamaa akaanza kumfokea wife
Wake kwamba ana hela kwa nini anamsumbua wakati anajua maisha magumu, ikabidi yule dada(wife) akate simu, hii iligusa sana wadau nakusababisha jamaa mmoja kilaji kiliyekuwa kimeanza kuchanganya kuanza kuponda kuwa Wanaume wa siku hizi wamekuwa legelege especially kwenye career wanapenda kazi za kike ndo maana wana vipato vidogo na imesababisha hata wakose hela za emergence kumpa wife kama hizo ndogo alizoomba mkewe,
akazidi kuponda kuwa Kazi ya jamaa ambaye ni Bank officer ni ya wavulana but Wanaume wanaojua majukumu na waletao mabadiliko kwenye familia zao wanapambana na umaskini kwa Career zisizo za kuvaa tai na huwezi sikia wakigombana na wake zao kisa kipato, akadai hizo kazi za kupendeza kufanga tai na kupulizia pafyumu nyingi Mwanaume wa ukweli Wanawaachia zifanywe na wake zao huku wanawapa mahitaji yote bila kuuliza mishahara yao as ziwasaidie kwa mambo yao madogomadogo kasha akaanza kulist kuwa Wanaume wa ukweli wapo
1- Wanaume wa ukweli wapo Bandarini huko wanapangama container na other port operations like kukagua mizigo and so on as hukuhakuna hela ya mawazo na ni nadra kwa mdada kufanya hizo kazi maana ni akili plus ukakamavu
2- Wengine wapo migodini wanasimamia operations mbali mbalizinazofanya wasivae tai wala suti mda wote wapo kwenye kadeti, reflectors na other operations dress code
3- Wengine wameajiajiri kwenye garage zao zakuelewaka, japokuwa kaajiri mafundi but Mda mwingine anazama mzigoni kuhakikisha mabo yanakwenda sawa kama kuweka sawa magari na vitu vingi familia isipate shida, mda wote hela ndogo ndogo mama hakosi na bar wanakaa huku nyumba zikijengwa na magari yakinunuliwa
4- Wanaume wengine Buildings contractor wapo site mda wote wanajenga nchi, na unakuta sometime wanapotea hata six months na wife halalamiki coz anajua mumewe ni Jembe na kaachiwa mahitaji yote bila tatizo na hata akiwashwa anapanda pipa anamfata husband site weekend then anarudi mjini anamuacha jamaa Site anafanaya kazi za kutengengeneza hela ya kuface majukumu
5- Telecom installations Engineers , mida yote wapokwenye resi za kufunga na ku upgrade minara ya simu ili mimi na wewe tuchat na vi modem visome tuweze kuperuziinternet, yaani ni kusaka hela tu as one site iinstallation payment ni dolaelfu kadhaa na unakuta kidume na team yake kwa siku wanapiga kazi kusimamisha site hata 10 na zinasimama, huku wife yupo home kashapewa budget yake ya mwaka mzima kwenye account japokuwa anafanaya kazi nayeye na kidume kipo porini kinafanya kazi na wife alalamiki kijinga as he knows ameolewa na kidume
6- Wengine wamejiajiri kwenye kampuni zao za clearing and forwarding, auditing firms na zinginevyo ambazo ni kusaka hela hakuna kucheka cheka,
7- Wengine wanasambaza mbao na vifaa vya ujenzi,Vyakula, na vinginevyo ambavyo mvaa tai na mbeba blackberry aliyepanga sinza awezi kufanya as hajui zinatengeneza bei gani, mwisho wa siku akiombwa msaada na wife anaanza kulialia mara najenga, mara mshahara haujaingia and so on, akamalizia na military officers na wengineo kibao wanaotengeneza hela other than kuuza sura posta,
So jamaa baada ya kuongea sana akamaliziana kumpa jamaa laki moja akampe mkewe achangie sherehe as atamdhalilisha,ataonekana anajitenga au anakaa kama hana mume wakati anae, na akadai Matatizoya ndoa nyingi yanaanzia kwenyemapato na matumizi na kuepusha hili mwanaume waukweli unapaswa upigane kwa kutengeneza kipato tofauti na mke wako as majukumuyako ya kiume ni mengi zaidi ya mkeo,
Mwanaume wa ukweli anafanya vitu vingi kwa mara moja like kulipa ada, wife anapendeza, nyumba zinajengwa, gari zinabadilishwa bila kusingizia kitu, na emergency ikitokea kwa ndugu wanasaidiwa bila kinyongo, sio mda wote umefunga tai blazameni, mda wote kiyoyozi kwenye Opa au Gx 100 ya mkopo huku unasubiri mshahara laki kadhaa mwisho wa mwezi, hayo mambo waachie wanawake mambo ya milliom 1 kwa mwezi,mwanaume fanya biashara, au jiajiri kwenye sector your best at and make more money, usiwaze kupendeza pendeza na kumsabishia mkeo na watoto manunguniko daily,,,, au mda wote kubishana mpira wakati haujasimama kimaisha use ur weekendto raise your income after work as a Man,, Anadai inamuuma sana kukuta dume linasoma SOCIOLOGY, POLITICAL SCIENCE AND SO ON ,
AKAMALIZIA KUWA WANAUME WA UKWELI UWASIKII WAKIGOMA WAONGEZEWE MISHAHARA WALA NINI AS HAWATEGEMEI MISHAHARA THAN MAKING MORE MONEY THROUGH SELF EMPLOYMENT AND WORKING HARD AND THEIR KIDS AND FAMILYHAS BETTER FUTURE while their wives works on those banks and so on, Na sio vizuri kukaa Bar huku familia haina furaha au Amani na kujisifia na kigari chako cha mkopo huku unasubiri mwisho wa mwezi kama mdada,, unatakiwa unakaa bar huku nyumbani wanacheki dstv, ada zimeshalipwa na hela umeaacha za kutosha na investment unaweka as Mwanaume wa ukweli unaejua majukumu yako
Jamani kusema kweli nilijisikia vibaya nikaingia kwenye ki spacio changu na kuelekea nilipopanga sinza as sipo kwenye kuleta mabadiliko zaidi ya njaa tu, nikasepa huku naitazama Ford Rangers aliyokuja nayo, bila kujua aliyoendelea kuongea, Nimekumbuka now nimeona tu share if he was truth or what, but baada ya kuiliza uliza leo ofisini nikajibiwa jamaa Amejiajiri na ni Telecom subcontractor wa Tigo, ndo aliyefunga 3g internet ya tigo kanda ya kaskazini na team yake, na pia ndio wenye tenda ya ku upgrade the whole country so jamaa mara nyingi anashinda porini ndo maana mkali
So wadau tujadiliane if his words are truth?
Heshima kwenu Brothers and sisters na wadau wote wa jamiiforums
Wekend hii Jumamosi nilikuwa Napata kinywaji na classmates,workmates na washkaji wengine huku tunacheki mpira Maeneo ya Break point Makumbusho, Kama mnavyojua Bar mnakutana na watu wengi msio juana kabla, but kinywaji na story za mpira zinawaunganisha na mnakuwa kama mmekuja pamoja
Na mnajuana toka kitambo, Baada ya kupata drinks huku mpir aukielekea mwishoni jamaa yangu mmoja
Alipigiwa simu na mke wake akimuomba hela ili achangie harusi ya shost wake so alimuuliza atoe ahadi ya bei gani, so kutokana na kelele za bar nakuona hawasikilizani vizuri jamaa ilibidi aweke loud speaker ili amsikie vizurihapo ndipo karibu wote meza ile tulisikia maongezi yao, Jamaa akaanza kumfokea wife
Wake kwamba ana hela kwa nini anamsumbua wakati anajua maisha magumu, ikabidi yule dada(wife) akate simu, hii iligusa sana wadau nakusababisha jamaa mmoja kilaji kiliyekuwa kimeanza kuchanganya kuanza kuponda kuwa Wanaume wa siku hizi wamekuwa legelege especially kwenye career wanapenda kazi za kike ndo maana wana vipato vidogo na imesababisha hata wakose hela za emergence kumpa wife kama hizo ndogo alizoomba mkewe,
akazidi kuponda kuwa Kazi ya jamaa ambaye ni Bank officer ni ya wavulana but Wanaume wanaojua majukumu na waletao mabadiliko kwenye familia zao wanapambana na umaskini kwa Career zisizo za kuvaa tai na huwezi sikia wakigombana na wake zao kisa kipato, akadai hizo kazi za kupendeza kufanga tai na kupulizia pafyumu nyingi Mwanaume wa ukweli Wanawaachia zifanywe na wake zao huku wanawapa mahitaji yote bila kuuliza mishahara yao as ziwasaidie kwa mambo yao madogomadogo kasha akaanza kulist kuwa Wanaume wa ukweli wapo
1- Wanaume wa ukweli wapo Bandarini huko wanapangama container na other port operations like kukagua mizigo and so on as hukuhakuna hela ya mawazo na ni nadra kwa mdada kufanya hizo kazi maana ni akili plus ukakamavu
2- Wengine wapo migodini wanasimamia operations mbali mbalizinazofanya wasivae tai wala suti mda wote wapo kwenye kadeti, reflectors na other operations dress code
3- Wengine wameajiajiri kwenye garage zao zakuelewaka, japokuwa kaajiri mafundi but Mda mwingine anazama mzigoni kuhakikisha mabo yanakwenda sawa kama kuweka sawa magari na vitu vingi familia isipate shida, mda wote hela ndogo ndogo mama hakosi na bar wanakaa huku nyumba zikijengwa na magari yakinunuliwa
4- Wanaume wengine Buildings contractor wapo site mda wote wanajenga nchi, na unakuta sometime wanapotea hata six months na wife halalamiki coz anajua mumewe ni Jembe na kaachiwa mahitaji yote bila tatizo na hata akiwashwa anapanda pipa anamfata husband site weekend then anarudi mjini anamuacha jamaa Site anafanaya kazi za kutengengeneza hela ya kuface majukumu
5- Telecom installations Engineers , mida yote wapokwenye resi za kufunga na ku upgrade minara ya simu ili mimi na wewe tuchat na vi modem visome tuweze kuperuziinternet, yaani ni kusaka hela tu as one site iinstallation payment ni dolaelfu kadhaa na unakuta kidume na team yake kwa siku wanapiga kazi kusimamisha site hata 10 na zinasimama, huku wife yupo home kashapewa budget yake ya mwaka mzima kwenye account japokuwa anafanaya kazi nayeye na kidume kipo porini kinafanya kazi na wife alalamiki kijinga as he knows ameolewa na kidume
6- Wengine wamejiajiri kwenye kampuni zao za clearing and forwarding, auditing firms na zinginevyo ambazo ni kusaka hela hakuna kucheka cheka,
7- Wengine wanasambaza mbao na vifaa vya ujenzi,Vyakula, na vinginevyo ambavyo mvaa tai na mbeba blackberry aliyepanga sinza awezi kufanya as hajui zinatengeneza bei gani, mwisho wa siku akiombwa msaada na wife anaanza kulialia mara najenga, mara mshahara haujaingia and so on, akamalizia na military officers na wengineo kibao wanaotengeneza hela other than kuuza sura posta,
So jamaa baada ya kuongea sana akamaliziana kumpa jamaa laki moja akampe mkewe achangie sherehe as atamdhalilisha,ataonekana anajitenga au anakaa kama hana mume wakati anae, na akadai Matatizoya ndoa nyingi yanaanzia kwenyemapato na matumizi na kuepusha hili mwanaume waukweli unapaswa upigane kwa kutengeneza kipato tofauti na mke wako as majukumuyako ya kiume ni mengi zaidi ya mkeo,
Mwanaume wa ukweli anafanya vitu vingi kwa mara moja like kulipa ada, wife anapendeza, nyumba zinajengwa, gari zinabadilishwa bila kusingizia kitu, na emergency ikitokea kwa ndugu wanasaidiwa bila kinyongo, sio mda wote umefunga tai blazameni, mda wote kiyoyozi kwenye Opa au Gx 100 ya mkopo huku unasubiri mshahara laki kadhaa mwisho wa mwezi, hayo mambo waachie wanawake mambo ya milliom 1 kwa mwezi,mwanaume fanya biashara, au jiajiri kwenye sector your best at and make more money, usiwaze kupendeza pendeza na kumsabishia mkeo na watoto manunguniko daily,,,, au mda wote kubishana mpira wakati haujasimama kimaisha use ur weekendto raise your income after work as a Man,, Anadai inamuuma sana kukuta dume linasoma SOCIOLOGY, POLITICAL SCIENCE AND SO ON ,
AKAMALIZIA KUWA WANAUME WA UKWELI UWASIKII WAKIGOMA WAONGEZEWE MISHAHARA WALA NINI AS HAWATEGEMEI MISHAHARA THAN MAKING MORE MONEY THROUGH SELF EMPLOYMENT AND WORKING HARD AND THEIR KIDS AND FAMILYHAS BETTER FUTURE while their wives works on those banks and so on, Na sio vizuri kukaa Bar huku familia haina furaha au Amani na kujisifia na kigari chako cha mkopo huku unasubiri mwisho wa mwezi kama mdada,, unatakiwa unakaa bar huku nyumbani wanacheki dstv, ada zimeshalipwa na hela umeaacha za kutosha na investment unaweka as Mwanaume wa ukweli unaejua majukumu yako
Jamani kusema kweli nilijisikia vibaya nikaingia kwenye ki spacio changu na kuelekea nilipopanga sinza as sipo kwenye kuleta mabadiliko zaidi ya njaa tu, nikasepa huku naitazama Ford Rangers aliyokuja nayo, bila kujua aliyoendelea kuongea, Nimekumbuka now nimeona tu share if he was truth or what, but baada ya kuiliza uliza leo ofisini nikajibiwa jamaa Amejiajiri na ni Telecom subcontractor wa Tigo, ndo aliyefunga 3g internet ya tigo kanda ya kaskazini na team yake, na pia ndio wenye tenda ya ku upgrade the whole country so jamaa mara nyingi anashinda porini ndo maana mkali
So wadau tujadiliane if his words are truth?