Mandingo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 4,429
- 3,637
Smile kwenye hiyo point ya 6,kama hujawahi pewa raha nitafute nikufikishe****
then hayo yote ulosema yapo kwa wanaume wa magamba hivyo naweza sema hata nyie mashosti ndio mmetufikisha hapa msinge chagua uzuri wa sura yasinge wakuta haya kwanza mwanaume hasifiwi sura sasa imekuaje mchague sura then sasa hivi mnalia???
then hayo yote ulosema yapo kwa wanaume wa magamba hivyo naweza sema hata nyie mashosti ndio mmetufikisha hapa msinge chagua uzuri wa sura yasinge wakuta haya kwanza mwanaume hasifiwi sura sasa imekuaje mchague sura then sasa hivi mnalia???