Wanaume wa Tanzania na romance

Halafu sijui kwanini mwingine ukimshika mkono anasema anaona aibu anakwambia sipendi tushikane mikono mbele za watu, halafu baadae huyo huyo anaanza kusema ohooo sijui u dont show me love and affectionate

mpwa, tatizo hawa wenzetu wanapenda show game!kidume ukiamua kuifanya na kuikamua kisawasawa wanaona tena so!
 
Utakuta ndoa ni ya mtu wa karibu na mnatakiwa wote muwepo. Nyumba hizi zinaficha mengi sana kuna jamaa niliwahi kuwaona wametoana out wenyewe pale Girrafe Hotel sijui walikuja kusuluisha ugomvi basi walikaa pale hawakuongea mwanzo mwisho na baada ya m/mke kumaliza chakula akamwambia jamaa maliza haraka tuondoke jamaa akamwambia usini-force kula haraka kilichofuata yule dada akabeba funguo za gari akanyanyuka akamwambia utanikuta kwenye gari. Yule m/ume alikasirika halafu watu kibao waliona ile movie ilivyoenda baadae akaagiza mzinga wa konyagi kubwa akaunywa kama juice ulivyoisha akatoka kumfuata mwenza wake kwenye gari

kwa kweli ndoa ngumu, mie kuliko nitoke na mwenzangu niyafanye hayo ni bora nictoke kabisa, na nikiamua kutoka hata kama nina hacra nitaivumilia nisiharibu mtoko then hayo m engine yataendelea badae.....nyumba hizi khaa.
 
asalaam aleykum wanajamvi, kuna jambo huwa linanitatiza saaana kuhusu ndoa nyingi (si zote) za kitanzania.
Hivi kuenda na mke wako kwenye sherehe na kukaa nae ni kinyume cha maadili yetu???
Kumshika mke wako mkono mbele ya watu hata kama watoto wapo ni kinyume cha maadili yetu??? au ni kuwafundisha watoto wawapende na kuwathamini wenzi wao pindi wa kiwa wakubwa???
Kumuweka mke wako mbele kuliko marafiki na ndugu mfano: Rafiki anakuambia muende somewhere kuhave fun ukimwambia uko busy na wife ni kinyume na maadili?? kuna jambo lingine linanishangaza saaaaana, siku ya harusi tunashikana mikono kanisani, tunakula keki moja tena twalishana na mdomo, tunadance ziro distance mbele ya umati lakini baada ya hapo yote yanakuwa KINYUME NA MAADILI, hapo kanisani kila mtu anakaa upande wake, kushikana mikono kushney,kwenye sherehe kama hamjuani no kudence no romance, no what, naombeni wanaume hapa jamvini mniambie why this is happening.... Je mnajua howmuch your wives wanapenda romance??? I can assure you women love romance more than anything else, we love displaying affection kwenye public japo kwa mipaka. Plz wanaume naombeni views zenu on this.


kuhusu mada, nafikiri kila mtu anafanya vyovyote vile anavyojisikia viziru na yeye na wake walivyozoea. kwa wengine hata kubusiana mbele za watu si ustaarabu...mfano, mimi siku yangu ya kufunga ndoa sikumbusu mke wangu kama nakula hilo ambalo nyie vijana wa mtaani mnaita denda...nilimbusu kwa ustaarabu si kulana ulimi au mambo ya ajabu kama vile usiku hautakuja...kutembea pamoja, kushikana etc, ni upendeleo wa moyo wa mtu...wakati mwingine inaweza kuwa limbukeni ya mapenzi kwasababu unajiona kama ndo wewe tu uliyeolewa. mfakatu...
 
kwa kweli ndoa ngumu, mie kuliko nitoke na mwenzangu niyafanye hayo ni bora nictoke kabisa, na nikiamua kutoka hata kama nina hacra nitaivumilia nisiharibu mtoko then hayo m engine yataendelea badae.....nyumba hizi khaa.
unajua hizi ndoa mara nyingi watu hatuandaliwi vizuri (haswa vijana kuanzia 1970 kuja juu) ndio matokeo yake inakuwa hivi na pia kutomshirikisha Mungu katika maisha ya kila siku ndio inaleta yote haya

mmmh ila ndoa zina mambo jamani nyie acheni tu huku kupishana maneno ndio chanzo kikuu cha matatizo yote

Nyamayao wewe ni mkongwe nadhani unaelewa namaanisha nn. Ndoa nyingi zimeshikiliwa na kiapo tu na mazoea na watoto
 
Usiseme hivyo kuna wanaume wanasema ukimtaka mwanamke unamfanyia chochote lakini ukishamuweka ndani ndio baasi. hapo utakuta mama ulibembelezwa ile mbaya kuolewa uliobwa na kufanyiwa yoote, lakini sasa ukimwambia nataka uwe romantic anakuambia kwani wewe si wangu tu kwani lazima nikufanyie hivi na vile?? kwanza tumeshaoana kwani unataka nini tena?? wala sio kwamba mtu alilazimisha ndoa, lakini hata hiyo mnayosema ya kulazimisha ndoa mi hainiingii akilini mwanamke hawezi kukurupuka na kukulazimisha lazima muwe na mahusiano na mahusiano mwisho wake ni ndoa sijui kama kuna mwanamke alilazimisha kuolewa na mwanaume asie na uhusiano nae!! aonjae asali sharti achonge mzinga!!!

Hapo theory inayotumika ni ya kutomlisha chambo samaki aliyeko nchi kavu. Utakuwa unapoteza resources kwa ajiri ya samaki wengine waliokO BADO MAJINI ETI.
 
asalaam aleykum wanajamvi, kuna jambo huwa linanitatiza saaana kuhusu ndoa nyingi (si zote) za kitanzania.
Hivi kuenda na mke wako kwenye sherehe na kukaa nae ni kinyume cha maadili yetu???
Kumshika mke wako mkono mbele ya watu hata kama watoto wapo ni kinyume cha maadili yetu??? au ni kuwafundisha watoto wawapende na kuwathamini wenzi wao pindi wa kiwa wakubwa???
Kumuweka mke wako mbele kuliko marafiki na ndugu mfano: Rafiki anakuambia muende somewhere kuhave fun ukimwambia uko busy na wife ni kinyume na maadili?? kuna jambo lingine linanishangaza saaaaana, siku ya harusi tunashikana mikono kanisani, tunakula keki moja tena twalishana na mdomo, tunadance ziro distance mbele ya umati lakini baada ya hapo yote yanakuwa KINYUME NA MAADILI, hapo kanisani kila mtu anakaa upande wake, kushikana mikono kushney,kwenye sherehe kama hamjuani no kudence no romance, no what, naombeni wanaume hapa jamvini mniambie why this is happening.... Je mnajua howmuch your wives wanapenda romance??? I can assure you women love romance more than anything else, we love displaying affection kwenye public japo kwa mipaka. Plz wanaume naombeni views zenu on this.

du kwanza ilo jina lako tu,naogopa ata kuweka coment yangu apa! Asha ngedere teh teh! Bwana suala la mapenzi zito,kabla upendo unakuapo tena sana lakn baadaye mamb yanabadilika sjui uwaga inakuaje?wanaume tulio wengi nikiwepo mimi,nikimtnkea demu nikimaliza mambo yangu uwaga natamani ata kumwacha apo apo tulipomalizia mambo yetu.
 
du kwanza ilo jina lako tu,naogopa ata kuweka coment yangu apa! Asha ngedere teh teh! Bwana suala la mapenzi zito,kabla upendo unakuapo tena sana lakn baadaye mamb yanabadilika sjui uwaga inakuaje?wanaume tulio wengi nikiwepo mimi,nikimtnkea demu nikimaliza mambo yangu uwaga natamani ata kumwacha apo apo tulipomalizia mambo yetu.

MMMMMhhhhh is that so??? ure getting there... sasa why??????????? haukumpenda au??
 
Hapo theory inayotumika ni ya kutomlisha chambo samaki aliyeko nchi kavu. Utakuwa unapoteza resources kwa ajiri ya samaki wengine waliokO BADO MAJINI ETI.
Mimi nataka sana nifahamu,, kwa hiyo ukimweka mwanamke ndani kama mkeo inatosha na unaona kama hauna jukumu la kumfanya awe happy kwa kumfanyia yale anayoyapenda??
 
asalaam aleykum wanajamvi, kuna jambo huwa linanitatiza saaana kuhusu ndoa nyingi (si zote) za kitanzania.
Hivi kuenda na mke wako kwenye sherehe na kukaa nae ni kinyume cha maadili yetu???
Kumshika mke wako mkono mbele ya watu hata kama watoto wapo ni kinyume cha maadili yetu??? au ni kuwafundisha watoto wawapende na kuwathamini wenzi wao pindi wa kiwa wakubwa???
Kumuweka mke wako mbele kuliko marafiki na ndugu mfano: Rafiki anakuambia muende somewhere kuhave fun ukimwambia uko busy na wife ni kinyume na maadili?? kuna jambo lingine linanishangaza saaaaana, siku ya harusi tunashikana mikono kanisani, tunakula keki moja tena twalishana na mdomo, tunadance ziro distance mbele ya umati lakini baada ya hapo yote yanakuwa KINYUME NA MAADILI, hapo kanisani kila mtu anakaa upande wake, kushikana mikono kushney,kwenye sherehe kama hamjuani no kudence no romance, no what, naombeni wanaume hapa jamvini mniambie why this is happening.... Je mnajua howmuch your wives wanapenda romance??? I can assure you women love romance more than anything else, we love displaying affection kwenye public japo kwa mipaka. Plz wanaume naombeni views zenu on this.

haya mambo yapo kwenye ndoa nyingi sana hapa bongo,na sielewi ni kwa nn.ni mbaya coz masuala ya kufichana fichana yanaongeza rate ya infidelity kwa kasi.kama mtu una mke wako,mpo kwenye party kwa nini usiwenae karibu?kwa nini ujifiche?...ni kwa sababu kuna uwezekano mkubwa kwamba ndani ya huo huo ukumbi una wanawake wengine kadhaa,wa oficini,jirani,wa bar e.t.c otherwise kwa nini hutaki kuonyesha ukaribu kwa mkeo mbele wa jamii?
 
Mimi nataka sana nifahamu,, kwa hiyo ukimweka mwanamke ndani kama mkeo inatosha na unaona kama hauna jukumu la kumfanya awe happy kwa kumfanyia yale anayoyapenda??

na mahusiano mengi siku hizi yamebase tu kwenye ndoa,ni kama fasheni flani hivi.kwa hiyo ntu akishafunga ndoa anaona amemaliza hana tena jukumu la affection kwa mwenzie.
 
vunja ukimya ....

siku ukijiskia unataka maua ......mpigie simu umwambie leo usirudi home mpaka uje na maua! yanini kujikera kwa kutaka mwanamme afahamu ile inaitwa 'ilmu lghayb' (elimu iliyojificha) ya kusoma mawazo yako?

ha haaaaaaaaaa, unaomba zawadi? sasa hiyo kali. anatakiwa mwenyewe ndo awe romantic
 
asalaam aleykum wanajamvi, kuna jambo huwa linanitatiza saaana kuhusu ndoa nyingi (si zote) za kitanzania.
Hivi kuenda na mke wako kwenye sherehe na kukaa nae ni kinyume cha maadili yetu???
Kumshika mke wako mkono mbele ya watu hata kama watoto wapo ni kinyume cha maadili yetu??? au ni kuwafundisha watoto wawapende na kuwathamini wenzi wao pindi wa kiwa wakubwa???
Kumuweka mke wako mbele kuliko marafiki na ndugu mfano: Rafiki anakuambia muende somewhere kuhave fun ukimwambia uko busy na wife ni kinyume na maadili?? kuna jambo lingine linanishangaza saaaaana, siku ya harusi tunashikana mikono kanisani, tunakula keki moja tena twalishana na mdomo, tunadance ziro distance mbele ya umati lakini baada ya hapo yote yanakuwa KINYUME NA MAADILI, hapo kanisani kila mtu anakaa upande wake, kushikana mikono kushney,kwenye sherehe kama hamjuani no kudence no romance, no what, naombeni wanaume hapa jamvini mniambie why this is happening.... Je mnajua howmuch your wives wanapenda romance??? I can assure you women love romance more than anything else, we love displaying affection kwenye public japo kwa mipaka. Plz wanaume naombeni views zenu on this.
unazungumzia personal experience au perception?
 
Hii sredi nimeipenda, mi siku moja nimeenda kwenye arusi nakutana na mshkaji yuko na waif wake hadi arusi inaisha hawajaongea, kama vile haitoshi ilipofika muda wa msosi waifu akazuga kwenda msalani, aliporudi akaunga foleni nyuma ya hubby wake kama mtu wa tatu, sikuipenda kabisa ile. Kama vipi si wangeacha kuja tu. Ila jamaa alikuwa anautafuta ukaribubila mafanikio.


hata kuongea???? hao basi walikuja kwenye harusi kutimiza wajibu - otherwise walikuwa tayari wamegombana walipotoka - I LOVE SMILING COUPLES - mbele ya watu lazima kuonyesha unamjali mwenzio - maswali na majibu bedroom na wala sio hata sebuleni mbele ya watoto - shida ni kuwa kama YESU hayupo katika ndoa hiyo .............shetani anatake chance - NAWAOMBEA WANA NDOA WOTE - MUNGU AWASAIDIE
 
Wamama shida mliyonayo, hamjiamini.. Ukiona mkusanyiko wa watu, ndio unataka ushikwe mkono.... Mbona huko kote mlikopita hukutaka ukumbatiwe? May be umemuona mtu ukawa na wasiwasi nae kuwa anakuibia, ndio unalazimisha ukumbatiwe.
 
ukiona hivyo ujue hiyo ndoa ni kongwe ina miaka zaidi ya mitano, ndoa kongwe zina visa sasa si bora hao walikaa pamoja kuna nyingine unasikia mtambulishaji anasema baba mdogo na mkewe popote mlipo tunaomba msimame unakuta baba mdogo anasimama mbele ya ukumbi na mkewe anasimama upande wa pili kabisa[/QUOTE]

hahahahah u made my day FD...
 
haya mambo si ya kuyalalamikia sana. mimi nadhani wewe mwenye mpenzi unatakiwa umuelewe vema mpanzi wako. hakuna kanuni ya moja ya kufuatwa, kila ndoa ina mambo ambayo nyingine hazina kwakuwa kila bina damu ni yeye , hivi muungano wenu ni pekee. mimi huu ni mwaka wa kumi ktk ndoa yangu, sioni taabu kushikana, kufuatana na mke wangu popote, hiii siyo kipimo pekee cha kuwa niahandle ndoa ipasavyo.
wapo ambao hawafuatani, hawakai karibu mbele za watu, lakini ni watu wanaopendana sana,sana. mwenzio alijitaidi kukushika mkono siku za mwanzo, alikuwa anjilazimisha kukushika mkono, na si kijilazimisha kukupenda, usimhukumu kwa kushindwa kushika mkono, umpime kwa upendo wake. hata wewe kuna usiyoweza kuyafanya kalini si kwakuwa humpendi bali kwa kuwa hujaumbwa kuyatenda.

ashangedele ninaharaka sana,s amahani hata sija proofread maandishi yangu kwakuwa ninamuwai mke wangu hapo nje ananisubiri- ninampenda sana
 
Utakuta ndoa ni ya mtu wa karibu na mnatakiwa wote muwepo. Nyumba hizi zinaficha mengi sana kuna jamaa niliwahi kuwaona wametoana out wenyewe pale Girrafe Hotel sijui walikuja kusuluisha ugomvi basi walikaa pale hawakuongea mwanzo mwisho na baada ya m/mke kumaliza chakula akamwambia jamaa maliza haraka tuondoke jamaa akamwambia usini-force kula haraka kilichofuata yule dada akabeba funguo za gari akanyanyuka akamwambia utanikuta kwenye gari. Yule m/ume alikasirika halafu watu kibao waliona ile movie ilivyoenda baadae akaagiza mzinga wa konyagi kubwa akaunywa kama juice ulivyoisha akatoka kumfuata mwenza wake kwenye gari

Nadhani home kulikuwa ni vita ya Israel na palestina
 
Back
Top Bottom