bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Halafu sijui kwanini mwingine ukimshika mkono anasema anaona aibu anakwambia sipendi tushikane mikono mbele za watu, halafu baadae huyo huyo anaanza kusema ohooo sijui u dont show me love and affectionate
mpwa, tatizo hawa wenzetu wanapenda show game!kidume ukiamua kuifanya na kuikamua kisawasawa wanaona tena so!