Joshi Kanji
Member
- Mar 1, 2008
- 75
- 43
Mmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhh.....!!!!!!!!!!!!!!!!! KIBANGA.
Ukitaka kujua uhondo wa ngoma ingia uicheze Kibanga, usiogope.
Weye jaribu tu, wala hautobadilika kuitwa wala kubadilishwa ulikotoka.
Kama wale waliondamana UK na wale waliokuja na meli BONGO walitoka uarabuni, basi kweli uliletwa na hao.
Ukitaka kujua uhondo wa ngoma ingia uicheze Kibanga, usiogope.
Weye jaribu tu, wala hautobadilika kuitwa wala kubadilishwa ulikotoka.
Kama wale waliondamana UK na wale waliokuja na meli BONGO walitoka uarabuni, basi kweli uliletwa na hao.