Wanaume wa kuogopa

Umri miaka 35 kwenda juu hajawai kuoa ,ana watoto mama mbalimbali(hawezi kutulia na wewe)
ndo kamaliza chuo hana kazi na wewe una kazi(hapo anapooza machungu ya maisha hakuna love)
anajiona superstar (ni mjinga sifa zitakumaliza)
anakupipu pibu ata kama mnatumia mtandao mmoja(bahili)
ni mchoyo(ukitoka nae anaomba menyu na kukagua kila kitu sh ngapi in advance then ananunua vya bei rahisi)

Acha kutembea na chupi mkononi weye...!
 
Umri miaka 35 kwenda juu hajawai kuoa ,ana watoto mama mbalimbali(hawezi kutulia na wewe)
ndo kamaliza chuo hana kazi na wewe una kazi(hapo anapooza machungu ya maisha hakuna love)
anajiona superstar (ni mjinga sifa zitakumaliza)
anakupipu pibu ata kama mnatumia mtandao mmoja(bahili)
ni mchoyo(ukitoka nae anaomba menyu na kukagua kila kitu sh ngapi in advance then ananunua vya bei rahisi)
have you been done?? in swahili UMETENDWA??
 
Umri miaka 35 kwenda juu hajawai kuoa ,ana watoto mama mbalimbali(hawezi kutulia na wewe)
ndo kamaliza chuo hana kazi na wewe una kazi(hapo anapooza machungu ya maisha hakuna love)
anajiona superstar (ni mjinga sifa zitakumaliza)
anakupipu pibu ata kama mnatumia mtandao mmoja(bahili)
ni mchoyo(ukitoka nae anaomba menyu na kukagua kila kitu sh ngapi in advance then ananunua vya bei rahisi)

Unahitaji matibabu ya haraka maana una kila dalili ya ungonjwa wa KUTENDWA! Umechanganyikiwa hata unashindwa kuweka sawa na kuelezea hisia na machungu yako. POLE SANA.

Tulia tafakari la kufanya, kwa mwendo huu utadata.
 
Umri miaka 35 kwenda juu hajawai kuoa ,ana watoto mama mbalimbali(hawezi kutulia na wewe)
ndo kamaliza chuo hana kazi na wewe una kazi(hapo anapooza machungu ya maisha hakuna love)
anajiona superstar (ni mjinga sifa zitakumaliza)
anakupipu pibu ata kama mnatumia mtandao mmoja(bahili)
ni mchoyo(ukitoka nae anaomba menyu na kukagua kila kitu sh ngapi in advance then ananunua vya bei rahisi)
we ushaliwa kaa kimya....tatizo lenu mnapenda kushobokea watu msiowajua vizuri
 
Jamani hebu msimshambulie mpeni pole kwa yaliyompata, hamjui mnamzidishia machungu mtoto wa mwenzenu jamani????
 
Umri miaka 35 kwenda juu hajawai kuoa ,ana watoto mama mbalimbali(hawezi kutulia na wewe)
ndo kamaliza chuo hana kazi na wewe una kazi(hapo anapooza machungu ya maisha hakuna love)
anajiona superstar (ni mjinga sifa zitakumaliza)
anakupipu pibu ata kama mnatumia mtandao mmoja(bahili)
ni mchoyo(ukitoka nae anaomba menyu na kukagua kila kitu sh ngapi in advance then ananunua vya bei rahisi)

Angalilia angalia mume wa mtu mwingine,hahaaaaaaa.patamu hapo,athari za kuiba waume za watu,hizo,mpaka ulipe.
 
Washakuvuruga weye ugua pole wenzako wanasifia wanaume walio aged.sasa ni pm tujaribu kama tunaweza fanya colabo mini under 35 dada.
 
HAHAHAAAAA! Umenikumbusha kisa kimoja cha TZ SHAROBARO FROM MANHATAN IN BONGO!!!!!! siku nikifurahi niwashirikisha wa dau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom