Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
wanaume wote wanaojiona masuperstar nchi hii hata wewe kama upo
teh teh teh ...kulikoni?
wanaume wote wanaojiona masuperstar nchi hii hata wewe kama upo
Umri miaka 35 kwenda juu hajawai kuoa ,ana watoto mama mbalimbali(hawezi kutulia na wewe)
ndo kamaliza chuo hana kazi na wewe una kazi(hapo anapooza machungu ya maisha hakuna love)
anajiona superstar (ni mjinga sifa zitakumaliza)
anakupipu pibu ata kama mnatumia mtandao mmoja(bahili)
ni mchoyo(ukitoka nae anaomba menyu na kukagua kila kitu sh ngapi in advance then ananunua vya bei rahisi)
have you been done?? in swahili UMETENDWA??Umri miaka 35 kwenda juu hajawai kuoa ,ana watoto mama mbalimbali(hawezi kutulia na wewe)
ndo kamaliza chuo hana kazi na wewe una kazi(hapo anapooza machungu ya maisha hakuna love)
anajiona superstar (ni mjinga sifa zitakumaliza)
anakupipu pibu ata kama mnatumia mtandao mmoja(bahili)
ni mchoyo(ukitoka nae anaomba menyu na kukagua kila kitu sh ngapi in advance then ananunua vya bei rahisi)
Umri miaka 35 kwenda juu hajawai kuoa ,ana watoto mama mbalimbali(hawezi kutulia na wewe)
ndo kamaliza chuo hana kazi na wewe una kazi(hapo anapooza machungu ya maisha hakuna love)
anajiona superstar (ni mjinga sifa zitakumaliza)
anakupipu pibu ata kama mnatumia mtandao mmoja(bahili)
ni mchoyo(ukitoka nae anaomba menyu na kukagua kila kitu sh ngapi in advance then ananunua vya bei rahisi)
we ushaliwa kaa kimya....tatizo lenu mnapenda kushobokea watu msiowajua vizuriUmri miaka 35 kwenda juu hajawai kuoa ,ana watoto mama mbalimbali(hawezi kutulia na wewe)
ndo kamaliza chuo hana kazi na wewe una kazi(hapo anapooza machungu ya maisha hakuna love)
anajiona superstar (ni mjinga sifa zitakumaliza)
anakupipu pibu ata kama mnatumia mtandao mmoja(bahili)
ni mchoyo(ukitoka nae anaomba menyu na kukagua kila kitu sh ngapi in advance then ananunua vya bei rahisi)
........ujue keshaliwa huyoUkiona manyoya....
Umri miaka 35 kwenda juu hajawai kuoa ,ana watoto mama mbalimbali(hawezi kutulia na wewe)
ndo kamaliza chuo hana kazi na wewe una kazi(hapo anapooza machungu ya maisha hakuna love)
anajiona superstar (ni mjinga sifa zitakumaliza)
anakupipu pibu ata kama mnatumia mtandao mmoja(bahili)
ni mchoyo(ukitoka nae anaomba menyu na kukagua kila kitu sh ngapi in advance then ananunua vya bei rahisi)
yanikute wapi ? unitoe out nikale wali dagaa mie
teh teh teh ...kulikoni?