Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
kutokana kwamba sisi sio wakazi bali ni washaija, hivyo basi serikali ituletee vitambulisho vya washaija, kama wamekubali kuwaletea wakazi wetu tu? haiwezekani na hatukubali, liwalo na liwe!
kutokana kwamba sisi sio wakazi bali ni washaija, hivyo basi serikali ituletee vitambulisho vya washaija, kama wamekubali kuwaletea wakazi wetu tu? haiwezekani na hatukubali, liwalo na liwe!