Konnie mie mganga sina ehhhh. . .ila nna kahirizi nilipewa na bibi mzaa babu!!
Ataje Lizzy ambae ana wake. Mi sio wangu nitamtajaje sasa?
Hata hivo amesha tajwa sana, inatosha. Naunga mkono walo mtaja.
klorokwini
Kloro namwogopa mume wangu. . .naweza lazwa sebuleni bureee!
Invisible
Ushatajwa mara kadhaa, hujafurahi?!
Musimo Jr
Jr huyo ni off limit, yani mtu akifanya mchezo namwendea kwa babu. . .atapata mimba hata kama ni Boflo!!lolz
Kiruuu, Yesu na Maria na Yosefu. Eti mai nem iz veri seksii...
Konnie mie mganga sina ehhhh. . .ila nna kahirizi nilipewa na bibi mzaa babu!!
Alafu unataka kukimbia kwanini Kongosho? Kaa hapo umlinde wifio!!
Mwali
Hamko wengi bana. . .we uko mwenyewe ndo maana huwezi kumtaja (wampenda sana). . .wengine watamchezea tu wamuache.
Erotica. . .anaweza akawa mkaka. . .embu komaa nae utuachie hawa wetu.
Sasa huo ugomvi lol
Hahahaaa vipi kuhusu King Kong III ?hahahaha nimesema nimhisivyo tu....
teh teh teh. nishakua mkaka. nani Saint Ivuga?