The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,884
Walaaaa, thread poa tu kwa kuondolea stress ha ha ha, lkn kama avatar zilivyo ndivyo mlivyo basi RussianRoulette & Lizzy mko hot
ha haaa hili ni dongo au compliment? lol
Walaaaa, thread poa tu kwa kuondolea stress ha ha ha, lkn kama avatar zilivyo ndivyo mlivyo basi RussianRoulette & Lizzy mko hot
The Finest, huyu barafu wa moyo wangu.....
Asprin, tulizo la moyo wangu
Bishanga, kidumu chang kitarajiwa
TANMO, jina lake lipo sexy
klorokwini, ananiachaga hoi....
Mtambuzi..... Sisemi kitu kuna binti zake humu....
gamba chovu
Mphamvu
The Boss......
EMT
Memo
Invisible bby boy...
Buchanan
Erickb52
Mbu
Saint Ivuga
Smiling Saint
nitarudi simu imeishiwa chaji
Mi namuona kama Ricky Martin or Stephen Gately type of hot, if you know what I mean. lol
Haya baba di caprio. Mi hadi nikuone ndio niaminiHapa kijijini wananiita lonado di caprio. Ukiniona tu basi unaomba talaka kwa mumeo
ha haaa hili ni dongo au compliment? lol
Mbona wewe hujataja kazi ku-question mtazamo wa Mkuu? So, who is hot and who is not?
Halaf mbona umetaja who is not tu, ile who is hot haujamtaja? au tujaze wenyewe?
Mh... Hii thread hii....
:shock:
Khaa we mtoto umechizika! ukimfantasize mtu tu kitu!
Uncle, hapa tunataja watu kwa kufatana na imagination yetu
Haya baba di caprio. Mi hadi nikuone ndio niamini
Halafu nina mashaka wewe ndie kibabu cha Husny
Hahahahaha. . . haki leo nalala nikimwota Invisible! Hubby, klorokwini, Bishanga, Musimo Jr mtanisamehe. . .Walaaaa, thread poa tu kwa kuondolea stress ha ha ha, lkn kama avatar zilivyo ndivyo mlivyo basi RussianRoulette & Lizzy mko hot