Pinda and wasira are Hot
ngoja mie nijiongezee ice cube, am very far from hot. Poor konnie!
Ndo sasa uniambie. . .do you like girls aswell!?!!!
Hehehe sitaki kusutwa mie. ,ngoja aje mwenyewe. Alafu kuna mwingine hapo nae inabidi umfute fasta. . .ukifantasaizi kuhusu yeye tena unapata mimba!!
Hehehe. . . .basi mweke Preta badala ya Cookie pale.
Nimejaribu kumkonvinsi kwamba mimi ndio kwanza nimemaliza kidato cha form six lakini kanijibu "jizee kitambi hovyoo"Hahahahaha. . .haki utalipia mbavu zangu lawyer. . .
Mwambie na wewe ulilala barabarani.
Hahahaha. . .nakuunga mkono kwa baadhi yao aisee ila Cookie nadhani ni mdada (unless your into woman to woman action) basi tafuta wakumreplace.
Uwwwwww alafu umemtaja anaemdatisha Mwali . . . .na fulani pia!!
Nimejaribu kumkonvinsi kwamba mimi ndio kwanza nimemaliza kidato cha form six lakini kanijibu "jizee kitambi hovyoo"
According to The Boss..... JF is never boring
I co-sign
Erotica wewe ni mkorofi... Lizzy, unaonaje tumchukulie hatua?klorokwini, EMT, Nyani Ngabu, Invisible, TIMING, Mbu, Fang, Cookie, The Boss, gfsonwin, fazaa, Mtambuzi, Bishanga, Mzee Mwanakijiji
The above list is the ones I consider hot and fantasize about. teh teh teh
Sasa we unamdanganyaje mzee mwenzio?!Unadhani hajui mapigo yenu ehhh?