Wanaume:utajisiakiaje.......

gfsonwin unaonekana una msimamo kweikweli,shemeji si atakuwa mpole sana hapo?

hapana siyo kwamba namuonea ila tu ni kwamba niko napenda uhuru wangu na kuheshimu naasi yake kama baba na mume. na ukweli uhuru mtamu ni ule wa kuwa na hela yako mwnyw siyo wa kunyoosa mkono kama omba omba. uliza utaambiwa na hata heshima inakuwepo mkuu.
 
lakini unajua sis gfsonwin, kuna wanaume wana roho kama paka duniani.... mpe masharti yoyote, he will always come up with a solution wakati huo akiwa ametega akumege.... and the more unavyomzungusha, ndiyo jinsi utakavyoshughulikiwa siku ya tukio....
basi kaka yangu carturaa miye nakutabnaga na wenye roho kama za kuku wa nyama ambao kelele tu wanaanguka na kuzimia.
 
Last edited by a moderator:
katika visa vingi hii mbinu inafanya kazi vizuri na kwa mwanaume makini ishu sio ukubwa wa dau, mimi hata ukhniambia unataka 2000 kama sharti la kulala na wewe tutashindana tu! Sipendi kuwekewa sharti la pesa, mambo ya pesa tuyazungumze ndani ya mahusiano.
Lakini natoa angalizo kwenye mbinu yako hiyo:pesa hazionekani katika sura ya mtu!
Kuna kijana mmoja hapa Mbeya anabeba mizigo ya watu na hajipendi katika mambo ya usafi yaani kama chizi vile. Lakini bado anafukuzia akina dada! Wakati fulani alikuwa akimtongoza dada m1 anayeuza duka ka nguo na ni mke wa mtu! Yule dada alikuwa akhcheka tu na kuwasimulia mashosti wake. Kijana alizidi kumsumbua yule dada ndipo akamwambia akitaka ampe alete 75,000! Kijana aliondoka fasta na kuleta hilo dau taslim!!! Kimbembe kikaanza. Dada hataki kupokea hela kijana kaja juu kuwa tumekubaliana! Ilibidi yule dada ampe 5000 ili aondoke, ndipo kijana aliporidhika na kuondoka! Umeipata hiyo? So, be careful!

ahha! huyo dada ali loba step auliza magwiji twafanyeje hapa...........alaah!
 
lakini unajua sis gfsonwin, kuna wanaume wana roho kama paka duniani.... mpe masharti yoyote, he will always come up with a solution wakati huo akiwa ametega akumege.... and the more unavyomzungusha, ndiyo jinsi utakavyoshughulikiwa siku ya tukio....

sasa hicho si kitakuwa kisasi sio starehe tena.
 
Last edited by a moderator:
hapana siyo kwamba namuonea ila tu ni kwamba niko napenda uhuru wangu na kuheshimu naasi yake kama baba na mume. na ukweli uhuru mtamu ni ule wa kuwa na hela yako mwnyw siyo wa kunyoosa mkono kama omba omba. uliza utaambiwa na hata heshima inakuwepo mkuu.

nikipata mwanamke wa aina kama yako mbona hufikirii mara 2,yani kwanza unakuwa hufikirii kila saa kugeuzwa saccos,pia lazima utakuwa na uhakika wa kushauriwa vizuri pale mambo yanavyokwenda ndivyo sivyo,tatizo linakuja kuwa siku hizi wanawake wengi hawana msimamo,kwao kitu cha kwanza ni pesa tofauti na hapo utakula kwa macho tuu.
 
hapo hakuna upendo akufukuzae hakwambi toka au kubali kuwa ATM

mbona siku hizi wanaume tushageuzwa ATM siku nyingi,ila tatizo linakuja jinsi ya kuitumia hiyo ATM,yani unafanya mambo mpaka unaoneka huna damira safi banaaa.....better use njia ambayo hata mtu wako hatakuwa na mashaka.
 
wanawake wengine na kujidhalilisha tu, kwani ulipokua unapanga nyumba uliagana na nani akulipie kodi.
 
nikipata mwanamke wa aina kama yako mbona hufikirii mara 2,yani kwanza unakuwa hufikirii kila saa kugeuzwa saccos,pia lazima utakuwa na uhakika wa kushauriwa vizuri pale mambo yanavyokwenda ndivyo sivyo,tatizo linakuja kuwa siku hizi wanawake wengi hawana msimamo,kwao kitu cha kwanza ni pesa tofauti na hapo utakula kwa macho tuu.

aah! sasa hapo unakosea kwani miye malaika bana? waweza kukuta mapungufu yangu yapo kwenye vitu vingine kabisa kama vile kupenda kujirusha ama kitu kingine chochote ambacho tena ni bora anayepiga mzinga kuliko mimi so usiseme hivi hata siku moja.
 
Hiyo ni rahisi sana, unakubali then unamwambia twende nikachukue hela kwenye ATM, ukifika unaingiza kadi na kubofya pin namba kinyumenyume mfano badala ya 5974 unaweka 4795 kadi itamezwa, then unamwambia utachukua hela kesho, unaomba mzigo hawezi kukataa, unamega na kuingia mitini....upo mkuu!
 
Hiyo ni rahisi sana, unakubali then unamwambia twende nikachukue hela kwenye ATM, ukifika unaingiza kadi na kubofya pin namba kinyumenyume mfano badala ya 5974 unaweka 4795 kadi itamezwa, then unamwambia utachukua hela kesho, unaomba mzigo hawezi kukataa, unamega na kuingia mitini....upo mkuu!

mhhh mbinu hiii....?
 
aah! sasa hapo unakosea kwani miye malaika bana? waweza kukuta mapungufu yangu yapo kwenye vitu vingine kabisa kama vile kupenda kujirusha ama kitu kingine chochote ambacho tena ni bora anayepiga mzinga kuliko mimi so usiseme hivi hata siku moja.

i know it is difficult to find a man/woman who is 100% perfect,what im trying to say is that;atleast she should bear some degrees of self confidence as well as firm standing,do you read me gfsonwin?
 
Ukisikia ufisadi ndio huo! Kweli baasha wa kwako mwenyewe unamchuna! Hawa ndio wale kuna wa vocha, blackberry, gari, mafuta, karolight. Pole! Ucmpangishie uone? Au wewe unamuonyeshea mawe? Bac akuonjeshe hata kidogo? "PIGA CHINI au unasubiri manyoya"?
 
Ukisikia ufisadi ndio huo! Kweli baasha wa kwako mwenyewe unamchuna! Hawa ndio wale kuna wa vocha, blackberry, gari, mafuta, karolight. Pole! Ucmpangishie uone? Au wewe unamuonyeshea mawe? Bac akuonjeshe hata kidogo? "PIGA CHINI au unasubiri manyoya"?

kuonjesha ndio hataki mpaka alipiwe pango,na mimi kumpiga chini siwezi labda mpaka nionje utamu,si unajua mambo ya TBS?
 
Hahahahaaaaaaaa tema ni gumegume hilo bro, najua ushatoa za kusuka sana na kucha kutengeneza hah?.....
 
Inatokea kuna mdada umempenda sana,unachukua uamuzi wa kumtongoza na yeye bila hiyana anakukubalia,mnaingia kwenye mahusiano,inapita kama miezi 3 bila kukutana kimwili tangu muanze uhusiano maana kila ukimuomba penzi anakuzungusha kwa sababu mbalimbali na ahadi zisizotimilika.Unaamua kutulia tu;siku moja unapokea sms yake inasema hivi,"HONEY NAKUPENDA SANA,NAPENDA KUWA NAWE ILA KABLA SIJALALA NAWE/KUFANYA MAPENZI NAOMBA UNILIPIE PANGO LA NYUMBA MIEZI 6(72000) COZ KWASASA SINA KAMAPANI NA NIMEFULIA,JE UPO TAYARI?".sasa kama ungekuwa wewe ungefanyaje?

Hapo anamaanisha "HONEY NAKUPONDA SANA, NAKUPONDA KUWA NAWE...."


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom