fergusonema
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 119
- 15
Haya ndo matope ya wanawake wachahce ambayo nikiyaskiaga natamani kutapiaka lol!
hela ya mwanaume tena si mume ni mpenzi aisee tumeumbwa tofauti. am your love but my doesnt know you and yours doesnt know me. nipe kwa upendo pasi kuomba kabisa nalia shid aduh hapana niacheni tu niuze ice cream na karanga darasani.
You doesnt know? duuu jamani hivi ni lazma kuongea hii lugha ama ndo swaga zenyewe