Wanaume- umeiandaa vipi familia yako pale utakapofariki?

Matola hujaelewa.......
Nilichomaanisha ni kuwa mali ambazo nilichuma kabla sijakutana na mwenzangu zinajulikana zote, hapa watoto, mume na ndg wanazijua na hata tulipooana na kuendelea kuchuma mali zinajulikana wazi....

Hakuna mali ambazo namiliki kwa siri bila mwenzangu kujua au watoto kujua....kila kitu kipo wazi........hakuna siri wala vificho.... In case of anything mambo yako wazi kuilinda familia yangu

Kumbe kwenye ndoa kuna mali ambazo hazihusiki na ndoa yenu halafu ndio kuna zile mali za ndoa!!??.....kweli hakukosea yule aliyesema Mwanamke siyo ndugu yako, ni sahihi kabisa.
 
Moja kati ya busara kubwa kwa mwanadamu ni kukumbuka kifo na moja kati ya hekima kubwa zaidi ni kujiandaa na kifo kwa maana haifahamiki siku wala saa siku ambayo mwanadamu atanyakuliwa....na kujiandaa na kifo si kwa kulimbikiza mali na mavitu kwa ajili ya wapendwa wako bali ni kwa kuwaongoza wapendwa kutenda mema yalioamrishwa na vitabu vya dini na kuyaacha mabaya ili tuelekee katika njia iliyonyooka ambako ndio kuna makazi ya kudumu...na si hapa duniani..ambapo maisha ya hapa ni mfano wa mtu msafiri aliyepumzika chini ya kivuli huku akiwa anaendelea na safari....ni mara ngapi tumesikia familia nzima imeangamia kwenye ajali mbaya ya gari ambalo ni mali yao...
Ni mara ngapi tumesikia nyumba imeteketea kwa moto na kuangamiza wote waliomo ndani wakiwamo na wenye nyumba....
Ni mara ngapi tumeona wazazi wamefiwa na watoto wao wote pengine mmoja kati yao ndio kwanza amemaliza chuo na anayaanza maisha...
Ni vigumu kukitabiri kifo chako au hata cha wapendwa wako lakini ni rahisi sana kujiandaa na kifo...kwani si kila wanaofariki ni wagonjwa...bali ni kwa mipango kuwa mwili wa mwanadamu ni mavumbi na mavumbini atarejea kwa namna yoyote ile....
 
Kumuonesha vitu vyite na kama mwepesi basi muelekeze ABC za kazi zako!!!
Kuandika ni vizuri lakini kama hajui "how, what and why" mali zitaisha tu!!!
Kwa nini wanaume huwa tunaficha baadhi ya mali, sababu kuna baadhi ya wananwake wapo karibu sana na familia zao yaani umemuoa ni kama vile kahamisha kabati yu ila attachment imebaki kwao mama yake ndio mshauri wake tena vingine kwa vificho!!! Hapo utakaa kwa amani???!!!!

Wanawake watu wazima watoto wenu wakiolewa waachieni waishi free na waume zao!!!!
 
Kumuonesha vitu vyite na kama mwepesi basi muelekeze ABC za kazi zako!!!

Kuandika ni vizuri lakini kama hajui "how, what and why" mali zitaisha tu!!!

Kwa nini wanaume huwa tunaficha baadhi ya mali, sababu kuna baadhi ya wananwake wapo karibu sana na familia zao yaani umemuoa ni kama vile kahamisha kabati yu ila attachment imebaki kwao mama yake ndio mshauri wake tena vingine kwa vificho!!! Hapo utakaa kwa amani???!!!!



Wanawake watu wazima watoto wenu wakiolewa waachieni waishi free na waume zao!!!!


Point ya msingi sana. Watu wameoa lakini hawaoni tofauti na kuwa single, wazazi wa mke wana dictate maisha yake A-Z na wewe kama mume you have no say at all.
Kwa hali hiyo, hata mambo yakiharibika na mume kutangulia mbele za haki ni dhahiri kuwa mke hatojihusisha na ndugu wa mume na kama mmechuma mali pamoja basi zitagawanywa baina ya ndugu wa mke. Nadhani ndiyo maana wanaume wengi hupenda kuficha walichochuma. Wazazi wawaache watoto wao wa kike watengeneze miji yao na sio kuwa remote control wa maisha yao.
Ni vizuri kufikiria maisha ya wapendwa wetu baada ya sisi kufa, lakini kwa umri wengi wanaanza kuwa na vipato, uwezo wao kulinganisha na majukumu yao...mmmh. Wengi tunaishi kwa ajili ya leo tu, kesho anaijua Mungu.
 
Ni jambo jema sana ingawa naona kama watu wanakimbia kulijibu hili swali.Ni vema ukaweka msingi mzuri wa kiuchumi kwa familia yako ili hata ukifariki dunia familia yako isipate shida na kufanya hivi si kujichulia kwamba utakufa kesho,la hasha bali ni kuiepusha familia yako na majanga yanayoepukika.Ni vema kuandika wosia wenye mchanganuo mzuri wa mali zako na nani atarithi nini.Tuchukue hatua sasa wakuu ili familia yako isiteseke baada ya wewe kutoweka.
 
Kumbe kwenye ndoa kuna mali ambazo hazihusiki na ndoa yenu halafu ndio kuna zile mali za ndoa!!??.....kweli hakukosea yule aliyesema Mwanamke siyo ndugu yako, ni sahihi kabisa.

Pole mkuu! Umechelewa kujua!
 
kweli rita wanashauri..... Natamani watanzania wengi wangejua ili kuwalinda watoto wao...
hope sio rita yakina sitimtemvu iliotengeneza cheti fekii kwaninii wasikulishe willii zauongo. ,kamanihii nendamakanisani wakupeushauri hii tasisi nikishakatanayo tamaaaa ikompaka kwenye escrow
 
Naandikawiliyanguleo nusuyamali iende jf, nusuwagawanemkewangu,watoto,namsaidada kama itabaki apewe smallpdidyjr/mwajuma... CCC invisible
 
Point ya msingi sana. Watu wameoa lakini hawaoni tofauti na kuwa single, wazazi wa mke wana dictate maisha yake A-Z na wewe kama mume you have no say at all.
Kwa hali hiyo, hata mambo yakiharibika na mume kutangulia mbele za haki ni dhahiri kuwa mke hatojihusisha na ndugu wa mume na kama mmechuma mali pamoja basi zitagawanywa baina ya ndugu wa mke. Nadhani ndiyo maana wanaume wengi hupenda kuficha walichochuma. Wazazi wawaache watoto wao wa kike watengeneze miji yao na sio kuwa remote control wa maisha yao.
Ni vizuri kufikiria maisha ya wapendwa wetu baada ya sisi kufa, lakini kwa umri wengi wanaanza kuwa na vipato, uwezo wao kulinganisha na majukumu yao...mmmh. Wengi tunaishi kwa ajili ya leo tu, kesho anaijua Mungu.
Mistari ya mwisho hapo ukweli saana kaka!!!
 
MKUU ole u umepata nikikuwanawaza nimpenani simuyangumpangomizma
 
Kwanini wanaume na sio mume & mke?
nyie za kwenu mnawaandalia akina nani?
Mnajiandaa kujineemesha na jasho la mtu na ndio maana tumeamua kurudisha mali nyumbani na hao watoto watatunzwa huko nyumbani kuliko mali zangu zibaki na mume atakayekuoa.....kwendaaaaa zenu
 
Ukweli utawaweka huru,hata vitabu vitakatifu vinasema mwanaume ndiyo kichwa cha nyumba,sasa mnapoleta ligi kwenye uhalisia ni kama mnazidanganya nafsi zenu,kwa baadhi ya wanaume mnaocomment "eti wanawake mmejiandaaje"zingatia huo ujumbe ulioletwa na mdau tuufanyie kazi,mwanamke atafanya sehemu yake kama kawaida.
 
Back
Top Bottom