Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
hapa ndo ambapo namkubali husband wangu. hawezi kusifia kitu ambacho hakifurahiibut kipi bora?
honest credits au tusifie sababu tunajua ni ugonjwa wenu kusifiwa?
what if unasifiwa but sio ya moyoni?
kuna siku nimetoka salon, mwenyewe nimejiona nimependeza, alichofanya ni kuniomba namba ya mdada mmoja rafiki yangu (ana salon) akampigia na kumwomba kesho asubuhi sana aje nyumbani. alipofika akamwambia naomba nikitoka job nikute hizi nywele zimesukwa kivingine, lol!