Kuna aiina za watu
ukiwasifia tu,watakwambia cut the story ....what do u want?? lol
since watu wengi humwaga sifa ili kupata wanachokitaka
mimi i prefer kutoa sifa genuine ......
na nikipewa sifa 'nakuwa uncomfortable kiana'
knowing sifa nyingi huwa sio genuine
au ndo uanaume wa kiafrika huo?unakumbuka ule uzi ya dark city?Pacha snowhite shukrani zikija bila kusukumwa na ndio zinanoga..
Saa zingine tunapishana namna ya ku'appreciate'..
Kikubwa msome hubby wako ana pozi gani when it comes kukusifia wewe mkewe..
Wakati mwingine tunaonaga kuwa mmefanya wajibu wenu..why kusifia??
Hivi kuna wengine hawasifu eeh? Poleni.
Sisi tunasifiana hata baada ya shughuli mwaya...na wala sioni kama ni sifa fake...nina amini ni genuine kwani siku tukichemsha tunaambizana pia. Lol.
LOL! hata wewe?sawa mwaya!
I was only teaching him how to better appreciate someone's effort, sikuwa nakunanga mwaya.
They are so selfish these men, wanakuja na malist ya jinsi tunavyopaswa kuwa na kubehave lkn wewe ukiwaambia kakitu kadogo kama kurecognize kwa sauti (si kimoyo moyo Mtambuzi) wanakuza na masababu ya kwanini si vizuri kufanya hivyo. Ptuuh no wonder no ya lesbians inaongezeka!
Mie nimezoea kusifu kimoyomoyo kwani najua ukimsifu mgema Tembo atalitia maji........................LOL
ha ha ha ha..................., kweli baba yangu. Ukimsifia kapaka wanja vizuri kesho anaenda kuweka kope za bandia...lolMie nimezoea kusifu kimoyomoyo kwani najua ukimsifu mgema Tembo atalitia maji........................LOL