- Thread starter
- #21
sio kwamba najisemea bali nawakisha mamia ya wanawakemwambie basi na mr wako inaonekana ni mvivu balaa hadi unafikia kusema hivyo :lol:
sio kwamba najisemea bali nawakisha mamia ya wanawakemwambie basi na mr wako inaonekana ni mvivu balaa hadi unafikia kusema hivyo :lol:
nimewageneralize kama wafanyavyo waoTatizo hua wanadhani wanajua kwahiyo ukimkosoa ni kama umemtukana vile.
Kila mwanamke anavionjo vyake bana kila ukikukuruka ndo hivyo unapewa masharti eti nisimpapase kalio
Hili nakuunga mkono Marytina....utakuta jamaa kwa kuwa amenunua gari basi hata zoezi la kutembea kidogo hafanyi akija bed anakuwa kama yupo ICU kwa kisukari
nenda fb na twter.
ukikosolewa usichukie chukulia kama changamoto ya kukuendeleza
kwanini abakwe jamani.kina baba mkikosolewa kwenye mambo hayo mnakuwa wakali...........
Wengine tunanyimwa kuyachezea eti yatachacha
Wengine wanatukataza eti yatatepeta nakuwa kandambili
kwa hiyo anataka apige game na mwili ubaki kwenye hali ya ubaridi kama alivyouzoeshaHili nakuunga mkono Marytina....
Ukidamka asubuhi unawahi kwenye garrrri yako full kiyoyozi, ukifika ofisini kwenye kiti chako....full kiyoyozi, ukitoka kazini kwenye garrrri yako, full kipupwe mpaka kaunta......... unapiga biya baridi na nyama choma........ ukitoka hapo kwenye garrri yako mpaka kitandani........... Mtumbo huooooo! Afu wasikumegee mkeo? Khaa!
Wanaume tuukubali ukweli huu.......... Mazoezi muhimu, tutamegewa wake zetu na waendesha mikokoteni.
Msije mkasema sijawaonya!
USHAURI WA BURE KWENU KINAMAMA MSIOTOSHEKA: Mara zote manung'uniko yenu yamekosa mashiko kwa sababu mnaoleta janga la mzee kulala ni nyie wenyewe. Hamjui hatari gani mnazileta kwenye miili ya waume zenu na hiyo mimafuta mnayojaza kwenye vyakula na mineno mibaya inayotoka vinywani mwenu inavyonyong'onyeza. Sijui nani aliwaambia kutia mimafuta mingi kwenye vyakula ndio upishi.
La pili, mkae mkijua kile kifaa sio kijiti kikavu kwamba kimeumbwa kigumu vile. Kile kinasimama kwa hisia. Sasa kama unanuka vitunguu au jasho unategemea appetite ya mr itatoka wapi? Hapo nikikuuliza vyakula vinavyoleta nguvu na kuamsha ari utaniambia huvijui, kwa hiyo hata huyu unayemlalamikia hapa hapewi almonds wala chai ya saa kumi na karanga. Mmekaa kudai haki tu bila kutimiza wajibu, ebo!
Mimi wife wangu kafundishwa bana, akiona nadhorota tu anabadili diet yangu. Chai ya jioni na korosho, ndizi mbivu sana, asali na tangawizi kama kawaida. Huwa kuna wakati mwenyewe anajuta kujifanya fundi kwa shughuli nzito anayoipata. Jifunzeni nutrition sio kulalamika tu huku wenyewe mnatulisha sembe na miwali daily, eti tukimbie. Nikimbie kwani nimefumaniwa?!
sikujui ila i can give u a score of 70%USHAURI WA BURE KWENU KINAMAMA MSIOTOSHEKA: Mara zote manung'uniko yenu yamekosa mashiko kwa sababu mnaoleta janga la mzee kulala ni nyie wenyewe. Hamjui hatari gani mnazileta kwenye miili ya waume zenu na hiyo mimafuta mnayojaza kwenye vyakula na mineno mibaya inayotoka vinywani mwenu inavyonyong'onyeza. Sijui nani aliwaambia kutia mimafuta mingi kwenye vyakula ndio upishi.
La pili, mkae mkijua kile kifaa sio kijiti kikavu kwamba kimeumbwa kigumu vile. Kile kinasimama kwa hisia. Sasa kama unanuka vitunguu au jasho unategemea appetite ya mr itatoka wapi? Hapo nikikuuliza vyakula vinavyoleta nguvu na kuamsha ari utaniambia huvijui, kwa hiyo hata huyu unayemlalamikia hapa hapewi almonds wala chai ya saa kumi na karanga. Mmekaa kudai haki tu bila kutimiza wajibu, ebo!
Mimi wife wangu kafundishwa bana, akiona nadhorota tu anabadili diet yangu. Chai ya jioni na korosho, ndizi mbivu sana, asali na tangawizi kama kawaida. Huwa kuna wakati mwenyewe anajuta kujifanya fundi kwa shughuli nzito anayoipata. Jifunzeni nutrition sio kulalamika tu huku wenyewe mnatulisha sembe na miwali daily, eti tukimbie. Nikimbie kwani nimefumaniwa?!
leo ntakomaa nao yaani wanasredi kibao za kuponda, wana hadithi kibao mara hapa nimfanya vile ,hivi kumbe upepo
Hili nakuunga mkono Marytina....
Ukidamka asubuhi unawahi kwenye garrrri yako full kiyoyozi, ukifika ofisini kwenye kiti chako....full kiyoyozi, ukitoka kazini kwenye garrrri yako, full kipupwe mpaka kaunta......... unapiga biya baridi na nyama choma........ ukitoka hapo kwenye garrri yako mpaka kitandani........... Mtumbo huooooo! Afu wasikumegee mkeo? Khaa!
Wanaume tuukubali ukweli huu.......... Mazoezi muhimu, tutamegewa wake zetu na waendesha mikokoteni.
Msije mkasema sijawaonya!
nimewageneralize kama wafanyavyo wao
ukweli wengi ni upepo hawana mtiti wa maana
sisi ndio wanaume bana!Hili nakuunga mkono Marytina....
Ukidamka asubuhi unawahi kwenye garrrri yako full kiyoyozi, ukifika ofisini kwenye kiti chako....full kiyoyozi, ukitoka kazini kwenye garrrri yako, full kipupwe mpaka kaunta......... unapiga biya baridi na nyama choma........ ukitoka hapo kwenye garrri yako mpaka kitandani........... Mtumbo huooooo! Afu wasikumegee mkeo? Khaa!
Wanaume tuukubali ukweli huu.......... Mazoezi muhimu, tutamegewa wake zetu na waendesha mikokoteni.
Msije mkasema sijawaonya!