Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,778
- 59,133
I hit the freeway once I gv em wht they ril want, so once I do tht, water work is ol wht they end up duing.
How lame. . .
I hit the freeway once I gv em wht they ril want, so once I do tht, water work is ol wht they end up duing.
How lame. . .
Umesomeka Kipipi. Habari gani lkn..
Hii ni barua yangu ya kwanza kabisa ya kutongoza.
Una mdomo mchafu wewe
Umeona eeh , .. halafu ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.....
Nt ril ila its bz at the begining most of u act like u don't like it bt deep inside u ril kno wht u ril want.
jamani yaani mi hapa nimesoma na kuelewa kwa shida kweli, JB taratibu mpendwa wengine mtatuacha kwenye mataa!!
I kno bt tht was hw I used to mek em learn nt to be arogant..
Vasco acha hizo bhana mbona inaeleweka kabisa.. Inakuaje lkn???JB taratibu wajameni unaniacha kwenye mataa mwenzio
Heheheheh. . .
Mi mvulana alikua akiniambia "mambo?" namjibu "chupi ya mgambo". . ."ni vipi??" = "vipisi" anageuza zake.
hahahaha lizzy jamani u gonna scare the birds away bora kama ulishaacha hayo majibu!
I kno bt tht was hw I used to mek em learn nt to be arogant..
Ambacho haujakielewa hapo ni kipi haswa..andika kiingereza fasaha hatutaki tabia za facebook hapa sawa
Amy ndege wakiwa wawili watatu wanapendezesha kufurahisha masikio, wakizidi wanakua wasumbufu, kelele kila upande.