BiMkubwa
JF-Expert Member
- Jan 9, 2007
- 529
- 97
uliosimama lakiniPositive side ya stori: Abarikiwe mama kwa kuwa na mradi wa kuku.
uliosimama lakiniPositive side ya stori: Abarikiwe mama kwa kuwa na mradi wa kuku.
Hii sms jana mke wa ndugu yangu kaibamba kwenye simu ya mumewe ambaye alisevu jina la mtuma meseji kuwa anaitwa ' Mose fundi bomba':
'Mpenzi leo nimepita madukani Kariakoo.Bei ya vifaa ni hizi: Stima (500,000._), Draya(400,000.-), Stima ya fasho(200,000.-), viti (60,000.-) na sinki(600,000._). Fanya hima kesho (yaani leo) unipatie hizo pesa maana nasikia bei karibu zitapanda.Ukinipa milioni mbili na nusu zitanitosha na kununulia dawa za kuanzia.mmmmmwwwaaaa i love you,ikamalizia hiyo sms.
Wakuu timbwili linaendelea,na tatizo kubwa bi mkubwa mradi wake wa kuku umesimama mzee anasema hana hela na wanaishi nyumba ya kupanga. Kinababa haya mambo ya kuzima moto kwa jirani huku kwetu kunaungua matokeo yake ndo haya.
Nawasilisha.
hahahahaa lakini ya kwetu kinababa mbona tunakiri humu?
Ok. Takuja jioni mida ile, ile!Sasa ina maana haujui pa kunipata? sweetlady unanilet down. Why! sweetlady why?
Nimeona mpendwa! Hawa waume zetu hawajui kama wake zao kuna mda tunatembea na mabomu...lol we waache tu waendelee kuwanunulia mafundi bomba draya, yakiwakuta ya kuwakuta tusilaumiane!Umeonaeeeee!
Bishanga nalichukia hilo jina 'hawara' si useme hata nyumba ndogo?kinamama mbona hamnijibu,hakuna mdada humu mmu ambaye ni hawara wa mtu?
<br />Hapa ndo mnaponishangaza....<br />
<br />
Kule kwenye kuacha wosia, mmesema akina mama "nyumba ndogo/hawara" wawe wajanja...<br />
sasa hapa mdada amekuwa mjanja, mnaweka tena lawama<br />
<br />
Aisee mwenye kisu kikali ndo hula nyama, afterall mtu si wako, ni bora amtumie tu kama yeye anavyotumika
Mmgekuwa mnatumia real ID nakuhakikishia hamna hata mwanaume mmoja ambaye angekiri humu. Si mnaona mwenzenu alikiri wife kaanzisha uzi mwenyewe kaingi mitini hakuja kujibu tuhuma.
Yaani uingie humu ukiri una ka small house,noma Mkuu,ukute mkeo naye
Haya mambo ni ya aibu kwa kila mtu ambaye ana imani ya dini. Japo sipingi wapo wachache ambao hawajuhi kama kuna kitu kinaitwa dhambi.