mukama talemwa
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 160
- 28
Kama Wanaume wa kizazi hiki hawakuwa macho, karne ijayo , patakuwapo na wanaharakati wanaume wa kupambana na sheria kandamizi zitakazokuwapo katika utawala katili wa wanawake.
Hivi hii ni forum gani tena?? naona kama umepotea njia mkuu........Kama Wanaume wa kizazi hiki hawakuwa macho, karne ijayo , patakuwapo na wanaharakati wanaume wa kupambana na sheria kandamizi zitakazokuwapo katika utawala katili wa wanawake.
Kama Wanaume wa kizazi hiki hawakuwa macho, karne ijayo , patakuwapo na wanaharakati wanaume wa kupambana na sheria kandamizi zitakazokuwapo katika utawala katili wa wanawake.