Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
Thanks doll, love you too miaka 101
Story zinazohusu ndoa zinapoletwa na watu ambao hawajaoa zinajaa nadharia nyingi.
Thanks doll, love you too miaka 101
Walahi hii ni purely 'sent from heaven' bila chenga!
Umemaliza dada'ake. Tatzo wanaume wengi nowadays wanaishi kiisidingo. Most of them wamekuwa akina 'baba Swalehe'
Kwa hili la mleta uzi, kuna nadharia pia?Story zinazohusu ndoa zinapoletwa na watu ambao hawajaoa zinajaa nadharia nyingi.
Mleta mada ni mtu mpumbavu kabisa kwasababu mpumbavu ni mtu asiyeweza kuelewa chochote! Hata vitabu vya dini vimekushinda kuvielewa!
Mfalme Suleiman alikuwa na wake 700, na ipo hadithi kwenye Biblia juu ya mwanamke aliyepelekwa kwa Yesu kwa kosa la kuzini, ulishawahi kujiuliza ni kwanini alipelekwa mwanamke tu wakati kuna mwanaume aliyezini nae?!
Waislamu wanaoa mpaka wanawake wanne, upo hapo?
Jamii mbalimbali wanaume wanaoa wanawake zaidi ya mmoja, upo?
Sasa ni wapi mwanamke aliolewa na wanaume wawili kwa wakati mmoja?
Nikupe tu summary:
Mwanaume akitoka nje ya ndoa athari kubwa ni moja tu ya kupata magonjwa. Mwanamke akifanya hivyo ataleta magonjwa na mitoto haramu kibao huku wewe ukiilea na kujua ni yako!
Ndo maana papuchi ilifichwa mbali sana kuliko dushe!
Kwa hili la mleta uzi, kuna nadharia pia?
Em tupe kidogo "reality" ambayo wewe umeionaIpo sana.
Natamani kila mwanaume anayetoa comment awe anataja status yake.
Maneno yanayomfanya hata dushe ikose ujasiri wa kusimamaHahahaa dada'ake. Maneno kuntu yanayomfanya mwanaume awe 'mpole' utadhani mtu alopoteza nauli katikati ya jiji. Ni ukweli mchungu kwetu wanaume... mvamizi kavamiwa!
Em tupe kidogo "reality" ambayo wewe umeiona
Mpendwa whether married or not, wote tunahitaji neema ya Mungu ili tusichepuke. Aisee bila hofu ya Mungu, hili suala ni gumu mno na hamna justification ya kucheatHii ni topic pana sana, na inaweza isielezeke kwa maandishi, ni kitu unachoweza kukielewa pale unaposhiriki.
Kwamba mpaka uwe kwenye industry ndo unapoweza kujua nini kimetokea na sasa nini kifanyike. Naomba tu nireserve comment yangu. Mimi nimeoa, so naomba niwaachie mjadala huu.
Mpendwa whether married or not, wote tunahitaji neema ya Mungu ili tusichepuke. Aisee bila hofu ya Mungu, hili suala ni gumu mno na hamna justification ya kucheat
Hii ni topic pana sana, na inaweza isielezeke kwa maandishi, ni kitu unachoweza kukielewa pale unaposhiriki.
Kwamba mpaka uwe kwenye industry ndo unapoweza kujua nini kimetokea na sasa nini kifanyike. Naomba tu nireserve comment yangu. Mimi nimeoa, so naomba niwaachie mjadala huu.
kwa andishi lako hili nahisi u njiani katika kulionja tamu la upande wa pili @nickyminaj. Japo ni lazima kumuomba Mungu lakini tunatakiwa akili zetu zifanyekazi yake kabla ya kuuhitaji msaada wa Mungusijawahi kucheat hata kuwaza tu sijawahi for me cheating isn't worth it.. ila haya mambo haya kikubwa ni kumuomba Mungu tu kwa akili zetu hatutaweza
Mpendwa whether married or not, wote tunahitaji neema ya Mungu ili tusichepuke. Aisee bila hofu ya Mungu, hili suala ni gumu mno na hamna justification ya kucheat
hapana sambusa zipo za nyama na za viazi, nyingine zina pilipili nyingine zina kotmiri...sio hivyo dada, ninachosemea mimi ni kwamba si ruhusa kwangu wala kwake kwa kukuwa sambusa ni ile ile na Utamu ndio ule ule
Mkuu, sometimes kuzielewa DO's na DONT's za mchezo sio lazima uwe 'mchezaji' .
Pili, wew kama mwanaume na umeoa, siamini kama kweli hutambui kabsa madhara ya kuchepuka!
Tatu, naposoma mwandiko wako, ni kama unajaribu kutoa 'justification' ya kuchepuka!
Mkuu, stick to the code of conduct ya ndoa. Comply with the commandments za ndoa. Tuacheni 'cheap' justifications hapa.
Otherwise, tusiwe tunawalaumu wanawake wakishachange kitabia baada ya mwanaume kuwa 'nunda' ndani ya ndoa.
-Kaveli-
lakini mshindo na Ile sukari uisikiayo wakati wa kufika safari yako ni ule ule pia kumbuka na kutambua kuwa Halua haina makombo mkwehapana sambusa zipo za nyama na za viazi, nyingine zina pilipili nyingine zina kotmiri...
Mkuu siyo kweli kwamba nafanya justification,
Humu ndani walokole ni wengi na mara nyingi sote tunajaribu kuandika maandishi ya kilokole, in an ideal world unachozungumza ni sawa, practically issues ni tofauti.
All in all, ndoa ni nzuri sana mkiishi kwenye misingi.
Cool.