Wanaume tu: Kukumbushana faida za ngono

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,448
17,147
This is just a reminder.

Nawakumbusha ndugu zangu faida za kufanya ngono kila siku, najua mnazijua na kuzifahamu, nawakumbusha tu.

Ngono kama tendo la burudani kuliko matendo yoyote duniani lina faida lukuki hasa kwa wanaume ikiwa ni pamoja na kupunguza msongo wa mawazo, kupunguza uzito, kuuongeza siku za kuishi, kuondoa magonjwa madogo madogo, kuongeza kinga ya mwili na nyingine nyingi.

Msikatishwe tamaa na wale jamaa wanaosema kwamba ili uishi maisha marefu acha ngono, huo ni uongo mtakatifu, hizo ni kauli za wasio na nguvu za kiume wakijifariji kwamba kukosa kwao nguvu za kiume kutawaongezea siku za kuishi hivyo kushawishi walio na nguvu kuungana nao katika ubatili wao.

Fanya ngono mara nyingi kwa siku au wiki kadri uwezavyo, piga goli nyingi kadri uwezavyo, kuwa na wanawake wengi kadri uwezavyo ili wakusaidie katika kutimiza hili.

Mimi nawakumbusha tu, injili inasema peleka neno kwenye misuko suko, wakikataa nawa mikono uondoke. Kua mseja uishi maisha mafupi.

Sharing is caring. Mjumbe hauwawi.
 
This is just a reminder.

Nawakumbusha ndugu zangu faida za kufanya ngono kila siku, najua mnazijua na kuzifahamu, nawakumbusha tu.

Ngono kama tendo la burudani kuliko matendo yoyote duuniani lina faida lukuki hasa kwa wanaume ikiwa ni pamoja na kupunguza msongo wa mawazo, kupunguza uzito,kuuongeza siku za kuishi, kuondoa magonjwa madogo madogo, kuongeza kinga ya mwili na nyingine nyingi.

Msikatishwe tamaa na wale jamaa wanaosema kwamba ili uishi maisha marefu acha ngono, huo ni uongo mtakatifu, hizo ni kauli za kishoga na za wasio na nguvu za kiume wakijifariji kwamba kukosa kwao nguvu za kiume kutawaongezea siku za kuishi hivyo kushawishi walio na nguvu kuungana nao katika ubatili wao.

Fanya ngono mara nyingi kwa siku au wiki kadri uwezavyo, piga goli nyingi kadri uwezavyo, kua na wanawake wengi kadri uwezavyo ili wakusaidie katika kutimiza hili.

Mimi nawakumbusha tu, injili inasema peleka neno kwenye misuko suko, wakikataa nawa mikono uondoke. Kua mseja uishi maisha mafupi.

Sharing is caring. Mjumbe hauwawi.

Je, huu ushauri lakini ni mzuri? " kua na wanawake wengi kadri uwezavyo ili wakusaidie katika kutimiza hili." sidhani kama ni ushauri mzuri..!! kwa sababu wataalamu wanashauri kwamba kiafya NGONO TATU hadi TANO kwa wiki zinatosha na kwa mke mmoja (au pia mpezi mmoja)
 
This is just a reminder.

Nawakumbusha ndugu zangu faida za kufanya ngono kila siku, najua mnazijua na kuzifahamu, nawakumbusha tu.

Ngono kama tendo la burudani kuliko matendo yoyote duniani lina faida lukuki hasa kwa wanaume ikiwa ni pamoja na kupunguza msongo wa mawazo, kupunguza uzito, kuuongeza siku za kuishi, kuondoa magonjwa madogo madogo, kuongeza kinga ya mwili na nyingine nyingi.

Msikatishwe tamaa na wale jamaa wanaosema kwamba ili uishi maisha marefu acha ngono, huo ni uongo mtakatifu, hizo ni kauli za wasio na nguvu za kiume wakijifariji kwamba kukosa kwao nguvu za kiume kutawaongezea siku za kuishi hivyo kushawishi walio na nguvu kuungana nao katika ubatili wao.

Fanya ngono mara nyingi kwa siku au wiki kadri uwezavyo, piga goli nyingi kadri uwezavyo, kuwa na wanawake wengi kadri uwezavyo ili wakusaidie katika kutimiza hili.

Mimi nawakumbusha tu, injili inasema peleka neno kwenye misuko suko, wakikataa nawa mikono uondoke. Kua mseja uishi maisha mafupi.

Sharing is caring. Mjumbe hauwawi.
mmh hii kali kwakweli na vipi kuhusu VVU
 
This is just a reminder.

Nawakumbusha ndugu zangu faida za kufanya ngono kila siku, najua mnazijua na kuzifahamu, nawakumbusha tu.

Ngono kama tendo la burudani kuliko matendo yoyote duniani lina faida lukuki hasa kwa wanaume ikiwa ni pamoja na kupunguza msongo wa mawazo, kupunguza uzito, kuuongeza siku za kuishi, kuondoa magonjwa madogo madogo, kuongeza kinga ya mwili na nyingine nyingi.

Msikatishwe tamaa na wale jamaa wanaosema kwamba ili uishi maisha marefu acha ngono, huo ni uongo mtakatifu, hizo ni kauli za wasio na nguvu za kiume wakijifariji kwamba kukosa kwao nguvu za kiume kutawaongezea siku za kuishi hivyo kushawishi walio na nguvu kuungana nao katika ubatili wao.

Fanya ngono mara nyingi kwa siku au wiki kadri uwezavyo, piga goli nyingi kadri uwezavyo, kuwa na wanawake wengi kadri uwezavyo ili wakusaidie katika kutimiza hili.

Mimi nawakumbusha tu, injili inasema peleka neno kwenye misuko suko, wakikataa nawa mikono uondoke. Kua mseja uishi maisha mafupi.

Sharing is caring. Mjumbe hauwawi.
Wewe shetani na ukauke kabisa kuharibu watu!
 
Haya nimekuelewa ushari wako ntaufanyia kazi..
lkn ntaanza na mkeo..!
 
Kumbe kufanya ngono kuna ondoa msongo wa mawazo? Ngoja niifanyie kazi ngono ili inipunguzie msongo wa maisha.
 
This is just a reminder.

Nawakumbusha ndugu zangu faida za kufanya ngono kila siku, najua mnazijua na kuzifahamu, nawakumbusha tu.

Ngono kama tendo la burudani kuliko matendo yoyote duniani lina faida lukuki hasa kwa wanaume ikiwa ni pamoja na kupunguza msongo wa mawazo, kupunguza uzito, kuuongeza siku za kuishi, kuondoa magonjwa madogo madogo, kuongeza kinga ya mwili na nyingine nyingi.

Msikatishwe tamaa na wale jamaa wanaosema kwamba ili uishi maisha marefu acha ngono, huo ni uongo mtakatifu, hizo ni kauli za wasio na nguvu za kiume wakijifariji kwamba kukosa kwao nguvu za kiume kutawaongezea siku za kuishi hivyo kushawishi walio na nguvu kuungana nao katika ubatili wao.

Fanya ngono mara nyingi kwa siku au wiki kadri uwezavyo, piga goli nyingi kadri uwezavyo, kuwa na wanawake wengi kadri uwezavyo ili wakusaidie katika kutimiza hili.

Mimi nawakumbusha tu, injili inasema peleka neno kwenye misuko suko, wakikataa nawa mikono uondoke. Kua mseja uishi maisha mafupi.

Sharing is caring. Mjumbe hauwawi.
Akili za viloba izo
 
Hili ndiyo sababu kuzaliwa kwa watoto wa kiume kunapungua siku hadi siku....We unafanya ngono kila siku hadi mbegu zako zinakosa virutubisho kabisa zinakuwa kama maji tu ukijitahidi sana unapata mtoto wa kike tu...Too much of anything is bad.
 
1 . Having sex relieves headaches. Every time you make love , it releases the tension in the veins of the brain.

2 . A lot of sex can clear the stuffy nose. Sex is a natural antihistamine . It helps to fight against asthma and spring allergies .

3 . Making love is a spectacular beauty treatment. Scientists have discovered that when a woman has sex , it produces a large amount of estrogen that gives shine and softness to hair.

4 . Sex is one of the safest sports. Make love often strengthens the muscles of male and female body. It's more enjoyable than swimming 20 laps in the pool and there is not need special shoes!

5 . Make love slowly , smoothly and in a relaxed way reduces the chances of suffering dermatitis, skin rashes and acne . The sweat produced cleanses the pores and makes your skin glow .

6 . Lovemaking can burn all the calories you have accumulated during the romantic dinner before bedtime.

7 . Sex is a divine remedy for depression. It releases endorphins into the bloodstream , creating a state of euphoria and leaving women and men with the feeling of being unique.

8 . Sex is the tranquilizer and muscle relaxant to a safer world . It is a thousand times more effective than Valium .

9 . Sexually active body releases more pheromones. .

10 . Kissing each day will keep you more time away from the dentist . Kissing is an art which makes the cleaner teeth and saliva reduces the amount of acid that causes tooth decay . This prevention eliminates many problems , in addition to offering a breath constantly renewed

C & P
 
Je, huu ushauri lakini ni mzuri? " kua na wanawake wengi kadri uwezavyo ili wakusaidie katika kutimiza hili." sidhani kama ni ushauri mzuri..!! kwa sababu wataalamu wanashauri kwamba kiafya NGONO TATU hadi TANO kwa wiki zinatosha na kwa mke mmoja (au pia mpezi mmoja)
wataalam wa wapi hao wanaoshauri mke mmoja?
 
This is just a reminder.

Nawakumbusha ndugu zangu faida za kufanya ngono kila siku, najua mnazijua na kuzifahamu, nawakumbusha tu.

Ngono kama tendo la burudani kuliko matendo yoyote duniani lina faida lukuki hasa kwa wanaume ikiwa ni pamoja na kupunguza msongo wa mawazo, kupunguza uzito, kuuongeza siku za kuishi, kuondoa magonjwa madogo madogo, kuongeza kinga ya mwili na nyingine nyingi.

Msikatishwe tamaa na wale jamaa wanaosema kwamba ili uishi maisha marefu acha ngono, huo ni uongo mtakatifu, hizo ni kauli za wasio na nguvu za kiume wakijifariji kwamba kukosa kwao nguvu za kiume kutawaongezea siku za kuishi hivyo kushawishi walio na nguvu kuungana nao katika ubatili wao.

Fanya ngono mara nyingi kwa siku au wiki kadri uwezavyo, piga goli nyingi kadri uwezavyo, kuwa na wanawake wengi kadri uwezavyo ili wakusaidie katika kutimiza hili.

Mimi nawakumbusha tu, injili inasema peleka neno kwenye misuko suko, wakikataa nawa mikono uondoke. Kua mseja uishi maisha mafupi.

Sharing is caring. Mjumbe hauwawi.

Naona tayari wewe una ngoma!!!!!!. Unataka na wenzako waipate
 
Back
Top Bottom