Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Mhhhh.....kwahiyo bado hajaamka kwenye hiyo ndoto ehhhh?
Kuna ndoto za mchana ndo hizo kama kweli
Mhhhh.....kwahiyo bado hajaamka kwenye hiyo ndoto ehhhh?
Anafrahisha nafsi yake huyu nimegundua
au ndio wale wanatongozewa
acha kudanganya watu bana! huwezi kuwa na hasira na mimi hata iweje. wewe mpakazie huyu mchizi kwanza halaf ukimaliza nikupeleke lunch.Alafu we nna hasira na wewe!!!
kama vile unamtamani mwanamke unamwota usiku unamaliza mchezo ndio kilichomtokea jamaa
mmmh hapana hapa kuja jambo,
Lizzy unasema kweli au leo una hamu ya kukashifu wakaka ukaona uzunguke mmbuyu kwa staili hii ili urushe ngumi na mateke bila vikwazo?
Na kwa nini ukasema unamfurahisha nani
Hahahahaha kuna jamaa angua likuwa domo zege kweli alikuwa ananiomba nimtongozee kisha nimpelekee guest kisha nimwambie mwanamke avue kabisa yeye anakuja kulenga tu hahahahahaha dah we acha tu
Yaani kama Lizzy yupo beauty basi jamaa atakuwa amekaa na wenzie anaota mchana kweupe anammega Lizzy huku na huku maromance, mataching taching kashika paja huku anasugua sugua mgongo lol maskini ya Mungu jamaa anaota ndoto za mchana.
Kama ni kweli akisema kuna ubaya gani?
your choice is my command. halaf sjui kwanini mapenzi ukiyaongelea kwa kiingereza yananoga?, mimi nazani hili lugha la kiswahili limekaaa kiuadui adui tu. (hii itakuwa ni sredi yangu inayofata)You know me too well!!!
Wapi tunaenda leo?
Yaani kama Lizzy yupo beauty basi jamaa atakuwa amekaa na wenzie anaota mchana kweupe anammega Lizzy huku na huku maromance, mataching taching kashika paja huku anasugua sugua mgongo lol maskini ya Mungu jamaa anaota ndoto za mchana.
umenichekesha sana bana duuuu
hata maandalizi unamsaidia
Ahhhh hata kama.....sasa ndo atangaze!
Well kwa kiwango changu.....huo umama huruma utanipita tu!!!Sio sura wala pesa useme wanazo wengi!
Anafrahisha nafsi yake huyu nimegundua