Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Lizzy dearest.......mi appreciate this thread,have nothing to add to your wisdom......i hope you are well today!!!
how are you Michelle...lets go...nionyeshe Pauline alipo?:sick:
Lizzy dearest.......mi appreciate this thread,have nothing to add to your wisdom......i hope you are well today!!!
Salama kabisa mchumba wa muda baadhi ya wadada inabidi wawe wastaarabu kama huyo msichana aliyependwa na rafiki yako ameishapoteza bahati kwa mambo aliyoyafanya.Utadhani ndo wewe uliyekua upande wa pili wa meza Fynest!!!Mzima lakini mchumba wa muda???Lolzz!!!
Salama Dena Amsi,umerudi?karibu sana!!!:coffee:
Lizzy thanks for this useful sredi
VOR na The Finest wameongea almost mawazo yangu kabisa
Ila sasa unakuta mtu unajifanya 'kipofu', unafanya yote kulingana na demand zake, lakini omba kwenda tabenako uone kasheshe yake...visingizio kibao...hapo mtu unajua 'hii si rizki' unachapa lapa
Halafu wanakuja baadaye oooh 'tuna nuksi mbona hatuolewi au kupata BF' usawa huu kuna mtu atakubali kuchunika kinamna hiyo kweli?
Kweli usawa huu watu wanaangalia umuhimu wa mtu na sio starehe.Lizzy thanks for this useful sredi
VOR na The Finest wameongea almost mawazo yangu kabisa
Ila sasa unakuta mtu unajifanya 'kipofu', unafanya yote kulingana na demand zake, lakini omba kwenda tabenako uone kasheshe yake...visingizio kibao...hapo mtu unajua 'hii si rizki' unachapa lapa
Halafu wanakuja baadaye oooh 'tuna nuksi mbona hatuolewi au kupata BF' usawa huu kuna mtu atakubali kuchunika kinamna hiyo kweli?
how are you Michelle...lets go...nionyeshe Pauline alipo?:sick:
Mweeee!!Am fine Kaizer,how are you? una kifaa kipya kinakula ATM nini mbona una beep sana siku hizi hapa JF?isije ikawa kimelamba hadi hela ya internet? manake sisi wapenda ATM tunajua kuzichota haswaaaaaaaaaaaa......l.o.l
njoo nikupeleke Pauline alipo!!!:laugh::laugh:
Mweeee!!
Mhh. What kind of support ? hapo mwenye akili yake moja kwa moja anjua msindikizaji ndiye decision maker, wakitoka hapo mhusika ata draw conclusion kutoka kwa msindikizaji (i.e mwnye kusindikizwa hana maamuzi juu ya mambo yake mwenyewe)-lolDuhh Kweli huyu hafai kabisa and the guy should have stopped at the shopping stage.... Huyo ni wa kuogopa kama ukoma... Duhh Lizzy ulitaka kumtumbukiza kaka wa watu kwenye matatizo???
Lakini unakubaliana na mimi it makes sense mwanzo wa mapenzi kwa dada kupenda kuwa na back-up ya mwenzake for support au?
Mweeee!!
Ooops!
Hapo kuna ukweli ndani yake. Kama muhusika bado hana uhakika na anahitaji convincing, omba mungu msindikizaji awe upande wako.Mhh. What kind of support ? hapo mwenye akili yake moja kwa moja anjua msindikizaji ndiye decision maker, wakitoka hapo mhusika ata draw conclusion kutoka kwa msindikizaji (i.e mwnye kusindikizwa hana maamuzi juu ya mambo yake mwenyewe)-lol
nini tena mchokozi wewe CPU?
Hi dearest,can you explain tu me this 'uchumba wa muda' thingy in simple english please lol!Utadhani ndo wewe uliyekua upande wa pili wa meza Fynest!!!Mzima lakini mchumba wa muda???Lolzz!!!
I know you hate me now than anyone here . . . .:coffee:
Hellow Coolmanwell said lizzy....
Hellow Coolman