NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,805
- 637
Wanaume siku hizi tunatisha na tumewashinda WANAWAKE kwa kupika. temeblea sehemu za starehe/biashara uone tena wa asili ya kihindi ndio balaa zaidi. Kwa kuchoma nyama weusi tunaongoza. Wanawake wamebakia kuwa wahudumu wa mezani tu mahotelini.
Sasa mimi najiuliza haya mapinduzi yana maana gani?? wanawake wajitahidi warudie number 1 yao tuliyoichukua sisi wanaume. Na hata kuhudumia kwenye mabaa wanaume wanafanya vizuri kuliko wanawake kwa vile wakikuona umeenda na mkeo/mchumba/kiburudisho wanakuchunia kukuhudumia wakati wanaume wao wanachapa kazi tu.
Na ndio maana harusi ya mwenzetu GEOFF tumechukua Dr. Pimbi kataringi autidoa kampani limitedi nwanapika sana hawa jamaa.
Sasa mimi najiuliza haya mapinduzi yana maana gani?? wanawake wajitahidi warudie number 1 yao tuliyoichukua sisi wanaume. Na hata kuhudumia kwenye mabaa wanaume wanafanya vizuri kuliko wanawake kwa vile wakikuona umeenda na mkeo/mchumba/kiburudisho wanakuchunia kukuhudumia wakati wanaume wao wanachapa kazi tu.
Na ndio maana harusi ya mwenzetu GEOFF tumechukua Dr. Pimbi kataringi autidoa kampani limitedi nwanapika sana hawa jamaa.