Sharp Observer
Member
- Apr 11, 2011
- 59
- 41
Baashi ya tafiti zinaeleza kuwa iwapo mwanamke anahitaji ngono mara moja kwa siku 20, mwanaume anahitaji kila kwa ndani ya siku hizo 20.
Ila uwiano unabadilikabadilika, wapo wengine ni 1:10, 1:15 yaani ikiwa mwanamke anahitaji mara moja kwa siku 10 mwanaume anahitaji kila siku kwa siku hizo 10 na iwapo mwanamke anahitaji mara moja kwa siku 15, mwanaume anahitaji kila siku ndani ya siku hizo 15.
MAANA YAKE:
Hebu tuchukue uwiano wa kati 1:15, maana yake ni kuwa iwapo mwanaume atamvumilila mwanamke mfano wakati wa hedhi kwa siku 7, mwanamke anatakiwa avumulie kwa siku 7x15=siku 105 (inakaribia miezi 3).
Kama mwanaume anaweza akamvumilia mkewe aliyejifungua kwa operation kwa muda wa miezi 6, basi mke naye anapaswa kumvumilia mmewe kwa siku 6x30x15=siku 2700 (zaidi ya miaka 7).
Je, wewe kama ni mwanaume umesafiri kikazi, kibiashara, kimasoma kwa muda wa mika miwili AU umepata tatizo la kiafya kiasi kwamba huwezi kujamiiana je mkeo anao ubavu kukuvumilia hata kwa miaka miwili?
Ukweli mano wana JF, sitaki kutoa majibu. Mara nyingi wanashindwa. Kwa mwanaume miaka 2 ni sawa na siku 730/15= siku 49 sawa na mwezi mmoja na nusu.
KWA UCHAMBUZI HUO SIAMINI KAMA WANAWAKE NI WAVUMILIVU WA TENDO LA NDOA IKIWA MWANAUME HAWEZI AMA YUKO MABALI.
ILA SISI WANAUME NDIO WAVUMILIVU ZAIDI.
Ndiyo maana baadhi ya dini zinaruhusu mwanaume kuwa na wake zaidi ya mmoja.
TAFAKARI
Ila uwiano unabadilikabadilika, wapo wengine ni 1:10, 1:15 yaani ikiwa mwanamke anahitaji mara moja kwa siku 10 mwanaume anahitaji kila siku kwa siku hizo 10 na iwapo mwanamke anahitaji mara moja kwa siku 15, mwanaume anahitaji kila siku ndani ya siku hizo 15.
MAANA YAKE:
Hebu tuchukue uwiano wa kati 1:15, maana yake ni kuwa iwapo mwanaume atamvumilila mwanamke mfano wakati wa hedhi kwa siku 7, mwanamke anatakiwa avumulie kwa siku 7x15=siku 105 (inakaribia miezi 3).
Kama mwanaume anaweza akamvumilia mkewe aliyejifungua kwa operation kwa muda wa miezi 6, basi mke naye anapaswa kumvumilia mmewe kwa siku 6x30x15=siku 2700 (zaidi ya miaka 7).
Je, wewe kama ni mwanaume umesafiri kikazi, kibiashara, kimasoma kwa muda wa mika miwili AU umepata tatizo la kiafya kiasi kwamba huwezi kujamiiana je mkeo anao ubavu kukuvumilia hata kwa miaka miwili?
Ukweli mano wana JF, sitaki kutoa majibu. Mara nyingi wanashindwa. Kwa mwanaume miaka 2 ni sawa na siku 730/15= siku 49 sawa na mwezi mmoja na nusu.
KWA UCHAMBUZI HUO SIAMINI KAMA WANAWAKE NI WAVUMILIVU WA TENDO LA NDOA IKIWA MWANAUME HAWEZI AMA YUKO MABALI.
ILA SISI WANAUME NDIO WAVUMILIVU ZAIDI.
Ndiyo maana baadhi ya dini zinaruhusu mwanaume kuwa na wake zaidi ya mmoja.
TAFAKARI