IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,452
- 7,357
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEE!Asante sana,wateja wakipungua rudi utumalizie na hayo mengine!
hawapungui hapa ni stand,...ila ngoja nimalizie hiki kimoja halafu ntarudi Canta......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEE!Asante sana,wateja wakipungua rudi utumalizie na hayo mengine!
wee yani mtu hadi kwenye kiwiko cha mkono jamani cantalisia kamuhifadhi kweli bana leo mimi ningemlaza ndani bana khaaaaaaaaaaaaaaa
ilawatu wana ukame bana khaaaaaa
Swali gumu na halina jibu moja,lakn ngoja nieleze yangu
1.awe mzuri(subjective kwa vigezo vyangu)
2.awe anajiamini(hapa namanisha awe na say na asimamie kile anachokiamni)_sio nafanya makosa anachekacheka kwa uoga.
3.awe mtiifu(aitambue nafasi yangu kwake na kwa familia i.e baba kichwa cha nyumba).
4.awe msikivu na mueledi wa mambo(sio anaambiwa vitu na kukurupuka na kuanza kurusha mawe)
5.asiwe mhanga sana wa maisha(hapa namaanisha asiwe mbahili kupita kiasi)..kila kitu bajeti_sio
6.mcheshi na mkarimu kwa familia na wageni pia
7.awe msafi na ajue kutimiza wajibu na majukumu yake i.e kupika,kufua,usafi wa ndani etc
8.asiwe na wivu kupita kiasi..kila mara kukuuliza uko wapi,unafanya nn,na kina nani?
Ni hayo niliyofanikiwa kuyakumbuka,ila natumaini yapo mengine sema wateja ni wengi wanahitaji huduma ya kushonewa na kubrashiwa viatu,...anyway_i will be back
Tumekuwa tukizoea kitchen party makungwi wake ni wanawake wenzetu kukueleza nn unatakiwa kumfanyia mumeo mm leo naomba kuwauliza wahusika wenyewe, ww kama mwanaume ungependa mkeo aweje kwa maana ya tabia, akufanyia mambo gani sio kwenye sita kwa sita bali kwenye idara zote, ili uweze hata kutamba mbele ya wanaume wenzio kuwa you have the best wife!
heshima na upendo ni kila kitu ....tumekuwa tukizoea kitchen party makungwi wake ni wanawake wenzetu kukueleza nn unatakiwa kumfanyia mumeo mm leo naomba kuwauliza wahusika wenyewe, ww kama mwanaume ungependa mkeo aweje kwa maana ya tabia, akufanyia mambo gani sio kwenye sita kwa sita bali kwenye idara zote, ili uweze hata kutamba mbele ya wanaume wenzio kuwa you have the best wife!
Tumekuwa tukizoea kitchen party makungwi wake ni wanawake wenzetu kukueleza nn unatakiwa kumfanyia mumeo mm leo naomba kuwauliza wahusika wenyewe, ww kama mwanaume ungependa mkeo aweje kwa maana ya tabia, akufanyia mambo gani sio kwenye sita kwa sita bali kwenye idara zote, ili uweze hata kutamba mbele ya wanaume wenzio kuwa you have the best wife!
mtaa huu bora kupita kimya kimya..
Mi mwanamke asiwe na KITAMBI 2 basi.
Mi binafsi napenda yafuatayo:
1.awe alieshika dini kama mimi
2.aniheshimu
3.ajue majukumu yake hasa kuhusu watoto na nyumbani kiujumla kama mwanamke akiwa ovyo nyumba inacollapse japo wanaume nao wanahijika kushirikiana lakini mambo mengi mwanaume unaweza usiyajue
4.napenda mwanamke alie tayari kunikosoa lakini nae awe anaekubali kukosolewa na akajirekebisha
5.lazima ajue mimi ndo kichwa cha nyumba nayeye ni waziri mkuu
6.wivu uliopindukia sipendi
7.sipendi mwanamke FEMINIST
8. Awapende ndugu zake,zangu majirani na anipende mimi kama mimi si sababu nyingine
9.asiwe kisirani
10.ikishidikana basi abaki la Dini na heshima kwani najua hayo yanaweza ku-engeneer mengineyo