Tumekuwa tukizoea kitchen party makungwi wake ni wanawake wenzetu kukueleza nn unatakiwa kumfanyia mumeo mm leo naomba kuwauliza wahusika wenyewe, ww kama mwanaume ungependa mkeo aweje kwa maana ya tabia, akufanyia mambo gani sio kwenye sita kwa sita bali kwenye idara zote, ili uweze hata kutamba mbele ya wanaume wenzio kuwa you have the best wife!