Titia
Senior Member
- Jul 3, 2013
- 155
- 113
Habari wakuu,
naliona tangazo la airtel mimi ni bingwa, kuna sehemu wanaume wamejipanga uku wameshika sehemu nyeti sijui kuzuia goli lisiingie au liingie, sielewi. Halafu si mara ya kwanza kuona wanaume wamejishika maeneo ktk mipira, sasa naomba kuuliza kuna uhusiano gani kati ya mchezo wa mpira na hayo maeneo? Na wanamaanisha nini?
naliona tangazo la airtel mimi ni bingwa, kuna sehemu wanaume wamejipanga uku wameshika sehemu nyeti sijui kuzuia goli lisiingie au liingie, sielewi. Halafu si mara ya kwanza kuona wanaume wamejishika maeneo ktk mipira, sasa naomba kuuliza kuna uhusiano gani kati ya mchezo wa mpira na hayo maeneo? Na wanamaanisha nini?