Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Siku za karibuni imekuwa kama fashion watu wengi kutupia picha za nyeti zao katika mitandao ya kijamii huku kila mmoja akiwa na lengo lake, wapo ambao wanatafuta kujulikana, wengine ndio kazi yao wanatafuta customer na wengine kama burudani lkn hii style mi nadhani haijakaa sawa Walianza wasichana lakini siku hizi mpaka wavulana nao wafanya hivyo. Huyu ni kijana aliezaliwaSeptember 26, 1990 na haya ndio mambo anayoyafanya.
kwa habari zaidi na mapicha cheki link ya chini...... mwaJ karibu udakuni
WANAUME NAO WAANZA KUANIKA NYETI ZAO FACEBOOK. | MPEKUZI
kwa habari zaidi na mapicha cheki link ya chini...... mwaJ karibu udakuni
WANAUME NAO WAANZA KUANIKA NYETI ZAO FACEBOOK. | MPEKUZI
Last edited by a moderator: