Wanaume na ndoa!

Mama hebu mshauri huyo mwanamke aache kuumiza kichwa chake. Kwani hawezi kutulia na kukubali kwamba yuko kwenye fungu la kukosa? Kwani kama hakuchi si unafungua mlango unaendelea na safari? Akiendelea kulazimisha hata hizo ahadi za mwezi wa 9 ambazo amekuwa akipewa hatapata na badala yake ataanza kupewa chai (zamani tuliambiwa kuchapwa vipoko ni kupata chai). Best wishes for her new life baada ya kukubali kipigo cha 3 - 0!

kaaaazi kwelikweli! better akatulia na huyo mwanaume wake mpaka atakapoamua kuoa au kuendeleza maisha bila ndoa!
 
watu wanawaza hivyo kwasababu WANAWAJUA SANA WAKE ZAO,WANAJUA MAZINGIRA WALIYOKUTANA AT FIRST!kwa mfano mimi nilikutana na waifu kanisani wakati tunakomunika....unadhani nitafikiria uwezekano wa waifu kwenda jolly?...

kwa hiyo mama-la-charity haya mambo hayako straight ki-hivyo....!kuna combinations of factors zinazompelekea mtu kufikiria otherwise.\

binafsi sitawalaumu wanaume kufikiria hivyo kwasababu NINAONA MAMBO MENGI SANA KWENYE NDOA ZA MARAFIKI/WASHKAJI/MAJIRANI/NDUGU n.k

Hiyo ni komnyo gani tena? Watu wanakwenda mbele ya paroko wakiwa wamefunga macho, nyie mlikuwa mnapepesa kope za nini? Mhhh, duniani kuna mambo! Labda tunazishe thread nyingine ili tupate mpya kama hizo. Nadhani kuna wengine walikutana kwenye ndoto...LOL!!
 
watu wanawaza hivyo kwasababu WANAWAJUA SANA WAKE ZAO,WANAJUA MAZINGIRA WALIYOKUTANA AT FIRST!kwa mfano mimi nilikutana na waifu kanisani wakati tunakomunika....unadhani nitafikiria uwezekano wa waifu kwenda jolly?...

kwa hiyo mama-la-charity haya mambo hayako straight ki-hivyo....!kuna combinations of factors zinazompelekea mtu kufikiria otherwise.\

binafsi sitawalaumu wanaume kufikiria hivyo kwasababu NINAONA MAMBO MENGI SANA KWENYE NDOA ZA MARAFIKI/WASHKAJI/MAJIRANI/NDUGU n.k

Kuhusu Mazingira sijaelewa unamaanisha nini.Lakini nasikia watu wengi wanasema WAKE ZAO waliwapata bar(barmeid) na wametulia sana kwenye ndoa .Yani ni tofauti na wengi waliowapata kwenye kwaya kanisani(wanakuwa mapepe).
 
atawezaje mwenyewe? au unamaanisha waachane nyamayao? ila ni ngumu sana kumwacha mtu unampenda, mzazi mwenzio na zaidi ya kukataa kwenda mbele kusema "i do" hajakukosea kitu na anakujali na kukuonyesha upendo wa kweli, shida ni hiyo ndoa tu!


sio kuachana, nina rafiki yangu alifanya hivyo, ana watoto 2, lakini alienda kurudi "kundini"...walutheri wananielewa, na mie mwenyewe nilikuwa cjui hiki kitu, kwasasa hata ikitokea kama kifo anazikwa kama mkristu kamili...Chris hivi na sie tuna hiyo?
 
sio kuachana, nina rafiki yangu alifanya hivyo, ana watoto 2, lakini alienda kurudi "kundini"...walutheri wananielewa, na mie mwenyewe nilikuwa cjui hiki kitu, kwasasa hata ikitokea kama kifo anazikwa kama mkristu kamili...Chris hivi na sie tuna hiyo?
best hebu nieleweshe more about kurudi kundini nimeipenda hiyo, je kwa watu hawa wa RC ipo na how?
 
1. Tatizo wasichana wengi hulazimisha ndoa,hawawezi kutenganisha na mahusiano yasiyokuwa ya ndoa ( ambayo ni kinyume na agizo la Mungu na dini zao ofcourse," ) The problem with women is always the same u start an affair with them they jump to conlusion it is for permanent"(James Hadley Chase- U never know with women)
2.Viongozi wengi wa dini hawajui NDOA ni nini? Wakati NDOA ni makubaliano kati ya mtu mke na mtu mume, Yakihalalishwa na ruksa ya wazazi wa pande mbili, Na baadae hufuatiwa na utashi wao namna ya kulikamilisha jambo hilo ndio maana kukawa na ndoa za aina 3(comon) kimila ,kiserkali na kidini,Dini hazitaki kutambua ndoa zingine kinyume kabisa na Mungu ambaye anazitambua ndoa zote hizo.
 
Kuhusu Mazingira sijaelewa unamaanisha nini.Lakini nasikia watu wengi wanasema WAKE ZAO waliwapata bar(barmeid) na wametulia sana kwenye ndoa .Yani ni tofauti na wengi waliowapata kwenye kwaya kanisani(wanakuwa mapepe).
MAZINGIRA namaanisha hichi ulichokiandika hapo!

habari ya kukutana na waifu bar...HALAFU AMETULIA,again unasema WATU WENGI,AGAIN UNASEMA UNASIKIA TU!lol

i won't declare it A THEORY BWANA!
halafu mwnzio SISIKII SIKII....!NINAONA KABISA:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
karibu valuu mama
 
best hebu nieleweshe more about kurudi kundini nimeipenda hiyo, je kwa watu hawa wa RC ipo na how?



kwa RC cjajua kama ipo hii kwa kweli, cjaickia, lakini muulize mlutheri yoyote atakuelewesha vizuri kuhusu kurudi "kundini"...huyu mdada nadhani kama ni mlutheri atakuwa hashiriki"chakula cha bwana"..akisharudi kundini ndio ataweza kushiriki na itakapotokea kama kifo atazikwa kama mkristu kamili, huyu friend wangu yeye yupo cngle, alichumbiwa na mwanaume wakaishi pa1 mimba ya pili ndio alikuja kugundua bwana ana mke huko kwao...mchezo uliishia hapo ndio akaamua kurudi wanavyosema kundini tena mwenyewe mwenyewe.
 
kwa RC cjajua kama ipo hii kwa kweli, cjaickia, lakini muulize mlutheri yoyote atakuelewesha vizuri kuhusu kurudi "kundini"...huyu mdada nadhani kama ni mlutheri atakuwa hashiriki"chakula cha bwana"..akisharudi kundini ndio ataweza kushiriki na itakapotokea kama kifo atazikwa kama mkristu kamili, huyu friend wangu yeye yupo cngle, alichumbiwa na mwanaume wakaishi pa1 mimba ya pili ndio alikuja kugundua bwana ana mke huko kwao...mchezo uliishia hapo ndio akaamua kurudi wanavyosema kundini tena mwenyewe mwenyewe.
haya nami nilitaka nirudi kundini alone! ila nafikiri kwa RC inaweza kuwa hakuna hicho kitu, my mr wangu ye kanisani ni kama jela, tunaenda kubatiza mtoto tu labda nisubiri ubarikio ndio ataenda tena. teh teheee!
 
wapendwa naomba mnisaidie kwa hili, kwanini wanaume ni waoga sana kuingia kwenye ndoa? yani hata kama mmeishi pamoja ikija kwenye suala la ndoa ni kupiga kalenda tu, ni kwanini inakua hivyo? je anakua hana mapenzi na mwenzi wake lakini anaendelea kudanganya kuwa anampenda?


Mom, hapo kwenye red umejibu mwenyewe. Kama mnaishi wote akuoe wa nini? Unampa kila kitu na may be umemzalia na watoto, ndoa si tayari. Tatizo ni kujitolea kupita kiasi....
 
haya nami nilitaka nirudi kundini alone! ila nafikiri kwa RC inaweza kuwa hakuna hicho kitu, my mr wangu ye kanisani ni kama jela, tunaenda kubatiza mtoto tu labda nisubiri ubarikio ndio ataenda tena. teh teheee!

haaa nimecheka mpaka bac!
 
MAZINGIRA namaanisha hichi ulichokiandika hapo!

habari ya kukutana na waifu bar...HALAFU AMETULIA,again unasema WATU WENGI,AGAIN UNASEMA UNASIKIA TU!lol

i won't declare it A THEORY BWANA!
halafu mwnzio SISIKII SIKII....!NINAONA KABISA:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
karibu valuu mama
Haya bana.Mie mwenzio nipo kwenye level ya KUSIKIA bado.Ili baadae nije nijionee mwenyewe kwa macho yangu .
Valuu siwezi kutumia,itachafua Damu ya mwana wa Adamu niliyokunywa.
 
Mom kumbe mnaishi wote....tayari wewe ni mke sasa kukuoa si formality tu kwani kuna la ziada atakalo pata hapo ??

kweli sheria za Mungu zipo kwa ajili ya kutulinda sisi lakini sijui kwa nini huwa hatutaki kuelewa hivo tuaona ni kama zinatunyima uhuru vile.

matokeo yake ndo haya!!! najaribu kufikiria tungekuwa hatuzini au ku-cohabit, si kila mtu mwenye wito wa ndoa angeingia kwenye ndoa? lakini sasa yule aliye kwenye ndoa hana tofauti na wale ambao wanjifanyia mambo yao informally....so why should one bother??
 
Mom kumbe mnaishi wote....tayari wewe ni mke sasa kukuoa si formality tu kwani kuna la ziada atakalo pata hapo ??

kweli sheria za Mungu zipo kwa ajili ya kutulinda sisi lakini sijui kwa nini huwa hatutaki kuelewa hivo tuaona ni kama zinatunyima uhuru vile.

matokeo yake ndo haya!!! najaribu kufikiria tungekuwa hatuzini au ku-cohabit, si kila mtu mwenye wito wa ndoa angeingia kwenye ndoa? lakini sasa yule aliye kwenye ndoa hana tofauti na wale ambao wanjifanyia mambo yao informally....so why should one bother??

mwenzako huyu si aliomba ndoa na mmme akampa definition ya ndoa thena kamuuliza inamaana hukujua kama ndoa ni muungano wa watu wawili walioamua kuishi pamoja kwa hiari, so it means ss tunandoa. ila sasa kwa wale tuliolelewa kidini tukikumbuka yale mafundisho ya dini tunaanza kuamini tunamakosa sana
 
Inaafatana na mtoa uamuzi. Inaweza kuchukua mwaka, na hata miaka! Ila wengine tunaogopa MAJUKUMU! Unajua yula wakukutana na kuachana, hana gharama!

Couldn't agree more...! Halafu nadhani kuna optimum time ya kufanya maamuzi- mkikaa sana ule moto huwa unapoa mpaka mnaonana wa kawaida tu (ukizingatia ukweli kwamba girls/women wanatend kuzeeka kwa kasi hasa wanapokuwa wamezaa vitoto kadhaa) - ikifikia hapo, usije shangaa mtu akaingia mitini ukasikia tu ameshaoa...:biggrin1:
 
Couldn't agree more...! Halafu nadhani kuna optimum time ya kufanya maamuzi- mkikaa sana ule moto huwa unapoa mpaka mnaonana wa kawaida tu (ukizingatia ukweli kwamba girls/women wanatend kuzeeka kwa kasi hasa wanapokuwa wamezaa vitoto kadhaa) - ikifikia hapo, usije shangaa mtu akaingia mitini ukasikia tu ameshaoa...:biggrin1:

I hate your avatar.....this is from the deepest part of my heart!!!
 
Haya bana.Mie mwenzio nipo kwenye level ya KUSIKIA bado.Ili baadae nije nijionee mwenyewe kwa macho yangu .
Valuu siwezi kutumia,itachafua Damu niliyokunywa.
hahaha!mimi ndo maana huwa naogopa sana wakina mama!
mke wangu akianza tu kunywa damu...SHE WILL HAVE TO GO HOME:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
mwenzako huyu si aliomba ndoa na mmme akampa definition ya ndoa thena kamuuliza inamaana hukujua kama ndoa ni muungano wa watu wawili walioamua kuishi pamoja kwa hiari, so it means ss tunandoa. ila sasa kwa wale tuliolelewa kidini tukikumbuka yale mafundisho ya dini tunaanza kuamini tunamakosa sana

si alikuwa sahihi!!!

mtu wa hivi hiyo ndo dawa yake.....ulikubali tuishi kibudu haya tulia sasa. ningekuwa mimi wala sifungui mdomo kuulizia hiyo habari ya ndoa maana nshajiingiza tayari informally......
 
I hate your avatar.....this is from the deepest part of my heart!!!
ha ha ha ha!
leo nitakutafuta mkuu nije hapo mahala tugawane SALARIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII OOOOOOOOH!salari eeehhhh ehhhhh ooohh
 
Back
Top Bottom