Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
mlege mwanzo mwisho, this is what hiphop is.
Mi nimekufagilia sana Da Suzie,ngoja nikupe sifa za marijali:Jamani kaka na vijanaume vyetu mbona mnazidi kuvaa hizo kata K mpaka mnatia kichefuchefu, nimeangalia sijui tamasha la fiesta huyo anaitwa Ney yaani yeye ni boxer kabisa na wala sio bukta, Linex lakwake chafuu alafu kalianika, Jo Makini mtu mzima na yeye anavalia suruali chini ya makalio upuuzi mtupu. Nyie wakaka wa JF kabla hamjaanza kutusema mavazi wanawake embu wafundisheni wadogo zenu ndo tutawaheshimu au na nyie mmedondoshea mnatafuta soko dizaini Arabuni
Sasa mbona wema sepetu akiacha makalio wazi jukwaani mnamjia juu? Na wengine wakianika manyonyo mnakuwa wakali?
Kumbe unazungumzia wasanii wa fleva. Ni nilidhani una base kwa wanaume wa maana.
Umemsahau feruzi naeJamani kaka na vijanaume vyetu mbona mnazidi kuvaa hizo kata K mpaka mnatia kichefuchefu, nimeangalia sijui tamasha la fiesta huyo anaitwa Ney yaani yeye ni boxer kabisa na wala sio bukta, Linex lakwake chafuu alafu kalianika, Jo Makini mtu mzima na yeye anavalia suruali chini ya makalio upuuzi mtupu. Nyie wakaka wa JF kabla hamjaanza kutusema mavazi wanawake embu wafundisheni wadogo zenu ndo tutawaheshimu au na nyie mmedondoshea mnatafuta soko dizaini Arabuni
Hio picture babkubwa.Mambo hayo ya kata K, mpaka mtoto anapata maono ya ujasiriamali!!! Mitaa ya kwetu huku kijana akivaa hivyo haruhusiwi kuingia nyumba za ibada, ni nuksi!!!
View attachment 67448
tatizo la wanaume wanapenda kuweka double std kwenye mavazi,tukivaa wakike ooh hawana nidham wanatutamanisha ila wao poa.swal ni kuwa kwan nas wakike hatutaman wakitutega?
kuiga iga tu mautamaduni ya wavuta bangi wa marekani ya kusini