ukiweza kuishi na mkeo kama GF wako, mambo yako yatakuwa mazuri sana.Kwa hiyo mkioana bado mnaendeleza hali ya B/F na G/F mi nataka nijifunze si punde na mm nasogeza jiko
Nahofia huyo rafiki yako hachelewi kumbadilishia mwanao kibao. Binti mwenyewe ushamuona lakini? Ni vile tu hairuhusiwi, ningemuoa mwenyewe.
ukiweza kuishi na mkeo kama GF wako, mambo yako yatakuwa mazuri sana.
Kila la heri
Interesting
kumbe ukiwa kwenye ndoa unaishi kwa mudi ya mwanaume ?
maisha hayana formula. niliposema ukiishi naye kama GF wako mambo yatakuwa mazuri sikuwa na maana ukiishi naye kama mke wako mambo yatakuwa mabaya.Na nikiishi nae kama mke wangu nitaishi vibaya? au mahusiano yetu yataingia nyongo?
FP maisha hivi yana formula?
Mpwa na wewe ni kharam yako ile...I see mpwa huwezi kuwa baba mkwe wangu hapo?
Itabidi tuongee vizuri Serengeti ngapi unaanza kuzima ili mazungumzo yanoge
uzuri mume wangu ni rafiki yangu, haoni shida kunisimulia mambo yanayomwangusha na mara nyingi huniomba ushauri kwa vitu vingi sana, siwezi kusema vyote, labda vingine haniambii, mara nyingi akiwa na kitu kinamsumbua lazima ataniambia, anaweza kusema this is embarrassing lakini naomba nikuambie. nadhani na mimi nampa confidence ya kunisimulia sababu nitajitahidi kwa lolote atakaloniambia asijisikie vibaya baada ya kufanya hivyo na namwambia hilo mbona la kawaida......
you can say that again.................. lolthis is why you are a FIxed Point..................standing by your hubby.............................lol
maisha hayana formula. niliposema ukiishi naye kama GF wako mambo yatakuwa mazuri sikuwa na maana ukiishi naye kama mke wako mambo yatakuwa mabaya.
tunajua mapenzi yanavyokuwa mazuri wakati wa u-GF/BF, kama wote mna lengo moja. mkiendelea kuishi hivyo hivyo hata baada ya kuoana mambo yanakuwa mazuri. watu wengi baada ya kuoana utakuta mambo mengi ambayo alikuwa anamfanyia mwenzi kabla hawajaoana yanaachwa, yanakuja mengine ya kimama-mama na kibaba-baba
Interesting
kumbe ukiwa kwenye ndoa unaishi kwa mudi ya mwanaume ?
Mpwa na wewe ni kharam yako ile...
Na kuku mtamu ndo wanasahau kumpika kabisa, siyo?Uzoeefu wangu na katika tafiti zisizo lasmi zinaonyesha kuwa akina mama/dada wengi wakisha olewa ndo wakwanza kujisahau hata style za mapenzi anazisahau kabisaaa wkt kabla ya kuolewa alikuwa anfanya mitindo tofauti na kadha wa kadha.
Interesting
kumbe ukiwa kwenye ndoa unaishi kwa mudi ya mwanaume ?
hii sina uhakika maana hai-apply kwanguUzoeefu wangu na katika tafiti zisizo lasmi zinaonyesha kuwa akina mama/dada wengi wakisha olewa ndo wakwanza kujisahau hata style za mapenzi anazisahau kabisaaa wkt kabla ya kuolewa alikuwa anfanya mitindo tofauti na kadha wa kadha.
hii sina uhakika maana hai-apply kwangu
Wakati mwingine wanawake nawahumia sana!!