kabakabana story yako mzuri bt inabidi mtu uisome btwn line.lini ulienda chuga ujasema since 07 till 2011 ulikuwa bado unawasiliana na usiyempenda hadi umesafir all the way from chuga.kwa mtazamo wangu alivyofanya mr y naona ni correct kwa sababu alikuona upo kama LOOSE BALL(asiye na mwelekeo) ndani ya 18 zake.m sure ukiendelea wasiliana nae 1day atakumega
Dah my sister ujue mapenzi ni kitu hatari huyu inaonekana moyo wake ulikudondokea ila ukawa mgumu. Ungekubali tukala maali yake au ni jibaba?
hehehe ni jibaba kaka hukumbuki nilikupa story yake?
ila sema ukweli roho ilikundunda nusu ikutoke eti?
unajishaua eti ulikuwa hujalala ne etc mmmh unawish ni wewe ungeolewa nae au?
usiwe na wasi utapata wako.
imagine kama ungekutana nae a day b4 na labda angekushawish umpe vitu, ungeliaje harusini?
mie nahisi ingekuwa sio harusi yake umemuona na ameoa bado angekupata tu kwa raha zote kwa kukudanganya bado single.
Hilo jibaa likataage kabisa dada angu, hujalimegea tunda kidogo lakini maana nyie mabinti hamsomeki
Duuu yani nampa pole sana mke wake, au yeye anapenda kama kina fazaa kwa kutazama tu hafanyi mabaya.
Lakini aisay angemheshimu mke wake kidogo, yani hapo anamdhalilisha sana.
Kweli sisi wanaume sometimes, tunakosa akili hata yakufikiria.
Kuna dalili kubwa lazima utakujampa tuu. Tena kamwoa rafiki yako ndio kabisaa.
mwanamke lazima atongizwe bana sasa mwanamke gani hutongozwi??
alafu unajua unapotoka nae u r giving him hope wer the is none
kama humpendi mwanaume mwambie sikutaki basi hamna chat contact wala ujinga wakuenda kunywa nae. wee unaona ni drinks mwenzio anaona anafanya progress hapo
wanaume hawaridhik kwa wanachokipata hata umalize ujuzi wote na kumpa vitu vyote bado atatoka
niliönana nae kwa drinks mara kadhaa kama mara 3 au 4 baada ya siku ile.,kupata a drink na mtu ina maanisha hujatulia?ahsante kwa kunifahamisha.
nilitoka nae kama mara 3 au 4 na ilikuwa mda wa mchana,na mahala pa wazi!,na ilikuwa ni kama after muda kama even 8 months,sikudhani bado angekuwa king'ang'anizi.
inaumiza sana kwani watu hawatulii na wake au wapenzi wao jamani,hata sijui wanataka wapewe nini lol
Wanaume hatuna matatizo yoyote
kabakabana sasa kama bwana harusi angekwambia anakuchukia ungesubiria mpaka sherehe iishe?? c ungeangua kilio na kuondoka???
Mara nyingi tunajitahidi kuwambia yale mnayotamani kusikia kutoka kwetu, HILO NDO TATIZO LETU.