AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Ahahahahah Ashadii wewee.........eti umeomba ujukuu, mie mwenzio nmenyeng'wanywa (hapa tuongee kwa sauti ya chini mwaya wachumba wasijesikia) Babu anataifisha lol......anakaba huyoo anataka wajukuu zake waolewe na kizinda na tena akikague yeye kuwa kipo!!
Babu yule akikupa ujukuu kakupa nasikia hanyang'anyi (nimesoma resume ya mchumba na ndg zake woote...lol..) BUT the mkara.. mmmmh!!!
Na mimi nitabanana nae tu... maana nishafika....lol