AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
We Bidada natamani nikuone live tudiscuss hii mambo. Aksante sana umenifumbua macho katika mengi........... Ni mangi yako under culture hata sijui niframe vipi.... kuna swala la dini ( amballo pia ni elelment ya culture).........Tanzania kama sikosei elimu au uelewa wa umuhimu wa maternal health mwanamke anaupata pale anapokuwa mjamzito!! yaani anapokwenda antenatal clinic kwa mara ya kwanza ndo huanza ku'hubiriwa' umuhimu wake kwa yeye na mwanae,,,,,,,tunasahau kuwa kuna circumstances nyingine ambazo hiyo'mara ya kwanza' inakuwa hindered....mano binti ambaye amepata ujauzito katika umri mdogo..jamii inamcondemn.........anaona aibu anajificha mwisho wa siku 'mara yake ya kwanza' inakuwa siku ya kujifungua ...sasa kama kuna tatizo litachelewa kuwa dictected during early times!Not only that lakini pia kuna zile sehemu (hasa vijijini) ambako wazee i.e. wamama watu wazima ndio wanaaminika kuwa na 'elimu' juu ya uzazi, mama anapata shida anaambiwa ni kawaida, au mimba si ugonjwa jikaze......hadi hali inapokuwa mbaya ndio anakiri kuwa kashindwa....na hawa haijalishi kama zahanati iko jirani au lah! Inasikitisha kusema ukweli..........
Nakumbuka nilikuwa naongea na mdada mmoja wa kihaya akanambia kuwa kimila mama mjamzito akiumwa na uchungu kama ndani ya nyumba kabaki na Baba mker hawezimwambia!! au akimwambia Baba mkwe hawezimsaidia..........sasa hali kama hii inawezaleta maafa!
Dearest hamu ya kukuona ni mutual... post yako in maternal health na related issues has intensified that! Napenda discussions na mtu muelewa ili niongeze knowledge na kupata a new perspective thus i do than you too... Uelewa wako wa lini mtu anapata elimu kuhusu mambo yahusuyo mimba ni sawa kabisa... mpaka upate mimba - what a laugh! but saddening... Mambo mengi yanafanya wanawake kupata mimba umri mdogo; kushawishiwa na watu wazima/walimu/marafiki and in most cases kubakwa.. some hata na baba zao... (wanaume wengine mabedhuri!!!! was** kabisaa!!)... Huyu binti mdogo anapopata mimba anaona aibu, anahukumiwa na kusimangwa sometimes hata na immediate families.... Dah! sometimes i hate this topic! But all in all nakubali yoote uloongea..
Mimi nafikiri hio ya wahaya ni in most cases dear... katika kabila langu (sorry sitataja...) mwanamke harusiwi kuonana face to face na baba mkwe kabisa... ukimuona anakuja geuza njia na kimbia... kama ni chocho unachuchumaa kuface ukuta alafu unajigubika na kitenge mwili mzima... Khaaa!