Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,924
Unachonifurahisha ni kwamba huuzi wala hutoi bure!!Mi ndo najua alipofuata kwa mara ya kwanza aliniambia maneno gani akanishawishi mpaka akanipata.
Unachonifurahisha ni kwamba huuzi wala hutoi bure!!Mi ndo najua alipofuata kwa mara ya kwanza aliniambia maneno gani akanishawishi mpaka akanipata.
Poa lovely shemu!Fine... Basi tutaonana mtaani...
Kwani Dorry kadai Mwamvita ni role model wake? Au sjakupata mkuu...
Hehehe! Nahisi changa hili...lolhahah,nimenunuliwa a nice dress and a purse ya silver ya kwendea out this weekend lol.
hahah,nimenunuliwa a nice dress and a purse ya silver ya kwendea out this weekend lol.
Hehehe! Nahisi changa hili...lol
Fasihi tu mkuu!!!sikiliza pini jipya la CPWAA kuna sehem anakuambia "anaonekana wa masaki!!!tabia za kiswazi!!!!"....utafiti wangu unaonyesha wanaume wanatuhumiwa kwa ubahili ndo wajanja!vimwaga makono wazee wa kumwaga sembe wamwagaji pakee ndo wanaenda kama madezoo!wajinga...ukiitwa bahili na madem hawa wa mjini jijue we mjanja!!!umesananuka!unaila mizigo kwa sound na mauzo kiaina!
Nini shopping??? Vocha tu anakuja pande zako... Ngoja nimtafute nimwambie wamtafuta!wewe sweetie, huyo bidada Dorrice mwambie yeye kuja pande hii, mbona anauweka?
au hapendi shopping yeye?
Hehehe! Nahisi changa hili...lol
duh, sasa umechukua kitimoto unataka ngozi ya kutengenezea viatu?
jamani kabakabana umenionea wapi Dorrice wangu?nina hamu ya kuchunwa leo wajameni.............................lol...
Imenikera sana tena sana, juzi nimetoka na jamaa yangu tumezoea kupanda tax eti kanitembeza kwa mguu, hlf tulipofika akaagiza soda kumuuliza baby vp leo kaanza ooh! Unajua ATM yangu ina matatizo mara imefungiwa mara imekuwa ghafra jana sikwenda benki mi nikatulia.
Sasa leo namtumia plz recharge me ananipigia simu ooh! Baby si unajua niko site? Yaani huku ni porini na vocha hakuna. Sasa unamdanganya nani?
Siku hizi kuna SIMBANKING, kuna MPESA, TIGOPESA NA AIRTEL MONEY, sasa hapa inakuwaje unaniambia mara ATM mbovu si ufanye transaction uingize kitu mpesa tuendelee kutanua? Au kama umefulia si useme coz najua mshahara mpaka next week, aaagh uongo wote wa nini?
Kama umo humu naomba uione, umenikera sn mambo ya site mimi hayanihusu na ukikuta umeibiwa uanze kulalamika.
Kama kweli unampenda, utamlinda..!
Unampenda kwa dhati huyo baby wako?.. Sio vizuri kuja kumsema huku, maisha kuna kupata na kukosa sasa wewe wataka apate kila siku? Wewe pia sio vibaya ukimpa ofa wakati ameishiwa.
Bluetooth on.....nakutumia picha kwa bluetooth washa sasa hivi
Bluetooth on.....