wanaume kwa nini mmeamua kufanya mambo hivi?

wanawake mko wengi sana that said, ayo maswali ni moja ya qualification katika interview.period
 
Naombeni mnijibu kwa kina
kwanini wanaume wengi wakitaka kumtongoza mwanamke siku hizi hili swali ndo no moja?
akikuuliza Jina lako swali linalofuatia Unafanya Kazi wapi? kama huna au jibu ni mimi mwanafunzi,mawasiliano kwisha!
mbili...
tunakoelekea Pesa au majumba na Magari ndo 1st priority ktk kuolewa na sio someones Heart..! ndo maana hata ndoa nyingi zinavunjika maybe!
in short kwa nini katika kuoa/kuolewa watu wengi siku hizi wanaangalia uwezo wa muoaji/muolewaji na sio mapenzi mioyoni mwenu?
ni maisha kuwa magumu ? au ni tamaa au ni wanaume kuwa wavivu na kuogopa majukumu au ni nini haswa?

me binafsi sina tabia ya kumwuliza mtu anafanya kazi gani, kwani mwanamke kuwa na kazi au asiwe co issue, ila chukulia umekulia shida na huoni future kwa nini usipate mtu mwenye uwezo ikiwa wewe huna ili upate pumziko?
sasa unachumbiwa na mtu huoni hata matumaini ya kupata unafuu mbeleeni, ikiwa hana uwezo wa kukutunza wewe je mkipata watoto itakuwaje? au mnataka watoto wa mitaani waongezeke? hili ni la muhimu kufikiriwa na wenzangu wote ambao tupo Single(do not quote me wrong, i am single but not alone. i am happy but not comfortable}
 
haya ukampata huyo tena ana zaidi, kama mizawadi ni kibao outings maeneo fresh etc, akifilisika je? utahama
 
I wonder why people are so negative on this! watu wengi tu wameoa wanawake wenye mimba si zao,au watoto si wa kwao!

Wengine wengi tu wanavizia mwanamke ameachana na jamaa yake ndio mtu anaibuka na gia kibao anajua she is desperate so atampata...na kweli wengine wanapata mzigo,

acheni hizo bana kama unaweza changamka,
 
Back
Top Bottom