Nimependa heels za huyo dada wa mwanzo....halafu kwanini wazungu wengi huwa wana miguu mizuri?
Hongera kwa kujirekebisha
Nimependa heels za huyo dada wa mwanzo....halafu kwanini wazungu wengi huwa wana miguu mizuri?
Nimependa heels za huyo dada wa mwanzo....halafu kwanini wazungu wengi huwa wana miguu mizuri?
MadameX umeona eeeehhhhhhhh?Yaani mi mwenyewe mpaka sahivi naitafakari hiyo miguu.miguu utafikiri hawakanyagi chini.kweli Mbuzi Mzee mkali sijui amewatolea wapi hawa viumbe.Nimependa heels za huyo dada wa mwanzo....halafu kwanini wazungu wengi huwa wana miguu mizuri?
Nimependa heels za huyo dada wa mwanzo....halafu kwanini wazungu wengi huwa wana miguu mizuri?
Well, kwasababu miili yao inko Flat.(namaanisha kuwa suo Curvy kama ya Waafrika au Hispanick) na ndio sababu miguu yao inaonekana kuwa proportional na miili yao. This applies also to Chinese, Japanise and some Indians. Lakini ni vigumu kuona hasa kwa wahindi kwasababu muda wote hufunika sehemu kubwa za miili yao.
Madame kila kabila limejaaliwa,
Wachaga-sura nzuri,makalio hakuna
Wahaya-makalio mazuri sura mbaya
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Wachina nakubaliana nawewe
Nimependa heels za huyo dada wa mwanzo....halafu kwanini wazungu wengi huwa wana miguu mizuri?
Sio wote. Mfano waingredha hawako kivileee. Nadhani waholanzi wanaongoza si tu miguu bali hata uzuri kwa ujumla...maumbile bomba, rangi sio ile weupe wa papai. Yaani kama mixa flani ya kibantu na kidhungu hivi. Bomba mbaya.Nimependa heels za huyo dada wa mwanzo....halafu kwanini wazungu wengi huwa wana miguu mizuri?
Nimependa heels za huyo dada wa mwanzo....halafu kwanini wazungu wengi huwa wana miguu mizuri?
Sio huko tu hata kwetu wenye miguu mizuri wapo.MadameX umeona eeeehhhhhhhh?Yaani mi mwenyewe mpaka sahivi naitafakari hiyo miguu.miguu utafikiri hawakanyagi chini.kweli Mbuzi Mzee mkali sijui amewatolea wapi hawa viumbe.